Nina ndugu yangu amekuwa Ni msumbufu sana kwa Jamii.Huyu bwana ameanza muda mrefu kuwa kero toka kwa ndugu zake hadi Jamii mzima inayomzunguka hapa kjjn.
Tatizo lilianza Kama Miaka 14 hv iliyopita baada ya kulianzisha akiwa Ni mjukuu wa marehemu kugombea urithi wa shamba kati yake na watoto wa marehemu alidai yy ndo mrithi kutokana na wosia wa marehemu.Ukoo uliingilia kati na wote waliotoa ushauri kwamba yy hawezi kupewa urithi wa shamba lote huku watoto wa marehemu wapo alianza bifu nao.Swala hilo Bahati lilipelekwa mahakamani.Sasa huyu mtu kawa kero anasumbua kwa vitisho kubambika kesi na kjj kiuzima hakuna Amani kwa usumbufu .Naomba mwangaza sheria inasemaje juu ya mtu category hii ili tumwepushe na hasira za Jamii wasije kumdhuru kutokana na kusumbuliwa.
Tatizo lilianza Kama Miaka 14 hv iliyopita baada ya kulianzisha akiwa Ni mjukuu wa marehemu kugombea urithi wa shamba kati yake na watoto wa marehemu alidai yy ndo mrithi kutokana na wosia wa marehemu.Ukoo uliingilia kati na wote waliotoa ushauri kwamba yy hawezi kupewa urithi wa shamba lote huku watoto wa marehemu wapo alianza bifu nao.Swala hilo Bahati lilipelekwa mahakamani.Sasa huyu mtu kawa kero anasumbua kwa vitisho kubambika kesi na kjj kiuzima hakuna Amani kwa usumbufu .Naomba mwangaza sheria inasemaje juu ya mtu category hii ili tumwepushe na hasira za Jamii wasije kumdhuru kutokana na kusumbuliwa.