Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salaam Wana jf
Kama wahenga walivyosema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha basi ndicho kinachotokea baada ya ndugu zetu kuomba siku zisiende ili siku ya mechi isifike hatimaye muda umefika .......Sasa kesho ni horoya vs kolo wizard
Maoni yangu
Nikiwa kama mchambuzi maarufu nawaomba ndugu zangu Wana jf tuwaombee Wanasimba washinde Kwa kishindo kikubwa
Kushinda Kwa Simba ni ushindi wa Taifa .........Wanasimba mkaiheshimishe nchi
Kama wahenga walivyosema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha basi ndicho kinachotokea baada ya ndugu zetu kuomba siku zisiende ili siku ya mechi isifike hatimaye muda umefika .......Sasa kesho ni horoya vs kolo wizard
Maoni yangu
Nikiwa kama mchambuzi maarufu nawaomba ndugu zangu Wana jf tuwaombee Wanasimba washinde Kwa kishindo kikubwa
Kushinda Kwa Simba ni ushindi wa Taifa .........Wanasimba mkaiheshimishe nchi