Mwanayanga mwenzangu acha kutuaibisha bwana,makolo wanacheza keshoSalaam Wana jf
Kama wahenga walivyosema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha basi ndicho kinachotokea baada ya ndugu zetu kuomba siku zisiende ili siku ya mechi isifike hatimaye muda umefika .......Sasa kesho ni horoya vs kolo wizard
Maoni yangu
Nikiwa kama mchambuzi maarufu nawaomba ndugu zangu Wana jf tuwaombee Wanasimba WAPIGWE kipigo heavyweight ili kuondoa aibu ya itakayokuja baadae
Sababu za kiuchambuzi kuwaombea kupigwa
_simba ni dhaifu Sasa imagine anavuka robo fainali then anakutana na mamelods, esperence, Al hilal ya ibenge, As Rabbat, wydadi Casablanca na laja Casablanca hakika taifa + league yetu itaharibika coz Simba anaweza pigwa hata 12 _0
Kwa kikosi hiki
View attachment 2555518
Huyu tunamkana,siyo mwanayanga mwenzetuKWELI MASHABIKI WA UTOPOLO WOTE NI MBWA.
(1)HIVI SIMBA INACHEZA JUMAPILI?
(2)HUYO RABAT NAE YUPO KLABU BINGWA?
(3)Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kuandika mamelods,laja,rabbat, wydadi.
(4)kajifunze kuandika kwanza.
[emoji23][emoji23] time TravelKWELI MASHABIKI WA UTOPOLO WOTE NI MBWA.
(1)HIVI SIMBA INACHEZA JUMAPILI?
(2)HUYO RABAT NAE YUPO KLABU BINGWA?
(3)Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kuandika mamelods,laja,rabbat, wydadi.
(4)kajifunze kuandika kwanza.
Sawa 🐸Kesho Mzee....ishafika
Wanakuacha uzidi kuaibika 😆Mods hawajabadilisha ??
Umesahau na "wandau"KWELI MASHABIKI WA UTOPOLO WOTE NI MBWA.
(1)HIVI SIMBA INACHEZA JUMAPILI?
(2)HUYO RABAT NAE YUPO KLABU BINGWA?
(3)Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kuandika mamelods,laja,rabbat, wydadi.
(4)kajifunze kuandika kwanza.
Baada ya kuandika, hukusoma agalu kidogo uone madudu ulioyoandika, uliiba simu ya ndugu uliogopa anaweza kukuona(nahisi hio speed ya kuandika ilikuwa hatari)Salaam Wana jf
Kama wahenga walivyosema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha basi ndicho kinachotokea baada ya ndugu zetu kuomba siku zisiende ili siku ya mechi isifike hatimaye muda umefika .......Sasa kesho ni horoya vs kolo wizard
Maoni yangu
Nikiwa kama mchambuzi maarufu nawaomba ndugu zangu Wana jf tuwaombee Wanasimba WAPIGWE kipigo heavyweight ili kuondoa aibu ya itakayokuja baadae
Sababu za kiuchambuzi kuwaombea kupigwa
_simba ni dhaifu Sasa imagine anavuka robo fainali then anakutana na mamelods, esperence, Al hilal ya ibenge, As Rabbat, wydadi Casablanca na laja Casablanca hakika taifa + league yetu itaharibika coz Simba anaweza pigwa hata 12 _0
Kwa kikosi hiki
View attachment 2555518
AgalauBaada ya kuandika, hukusoma agalu kidogo uone madudu ulioyoandika, uliiba simu ya ndugu uliogopa anaweza kukuona(nahisi hio speed ya kuandika ilikuwa hatari)
NB:Timu dhaifu unaiombeaje ifungwe? mwanafunzi aise na uwezo darasani unamuombea afanye vizuri??? Jumamosi na si jumapili(kama ulivyoandika) Simba sc inaenda kushida ili uumie zaidi.
Kwel Ashura cheupe alikuwa sawa kuhusu wenye akili pale UTO ni wawili tu.Salaam Wana jf
Kama wahenga walivyosema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha basi ndicho kinachotokea baada ya ndugu zetu kuomba siku zisiende ili siku ya mechi isifike hatimaye muda umefika .......Sasa kesho ni horoya vs kolo wizard
Maoni yangu
Nikiwa kama mchambuzi maarufu nawaomba ndugu zangu Wana jf tuwaombee Wanasimba WAPIGWE kipigo heavyweight ili kuondoa aibu ya itakayokuja baadae
Sababu za kiuchambuzi kuwaombea kupigwa
_simba ni dhaifu Sasa imagine anavuka robo fainali then anakutana na mamelods, esperence, Al hilal ya ibenge, As Rabbat, wydadi Casablanca na laja Casablanca hakika taifa + league yetu itaharibika coz Simba anaweza pigwa hata 12 _0
Kwa kikosi hiki
View attachment 2555518