Wandugu okoeni ndoa ya kijana mwenzenu

Wandugu okoeni ndoa ya kijana mwenzenu

Mpe pole rafiki yako. Hivi huo ugonjwa kumbe ndo mbaya hivyo??? Kiutalaamu unaitwaje nipate kugoogle nijisomee zaidi??
Amueleze tu mkewe kabla mambo hayajaharibika zaidi. its always better kusema mapema asije kugundua mwenyewe inakuwa kesi zaidi. na hapo ukiangalia "huduma muhimu/chakula cha ndoa" kimesitishwa kwa muda until further notice ndo mama atazidi kupata wasiwasi.
Huyo mke na yeye mbona hamuamini mumewe kiasi hicho???? au huyo mshkaji hajatulia nini mpaka mke mke anakosa imani naye hivyo???

kama mambo yenyewe ndo hayo ya gym duuh mbona kazi nilikuwa nataka nikajieke sawa nianze gym lakini pananitisha hata kutumia mabafu yao ni balaa.
 
Kwanini daktari anataka wakatibiwe wote na mkewe na si yeye peke yake? Je daktari anahisi kwamba jamaa atakuwa kashamwambukiza mkewe?
 
Mpe pole rafiki yako. Hivi huo ugonjwa kumbe ndo mbaya hivyo??? Kiutalaamu unaitwaje nipate kugoogle nijisomee zaidi??
Amueleze tu mkewe kabla mambo hayajaharibika zaidi. its always better kusema mapema asije kugundua mwenyewe inakuwa kesi zaidi. na hapo ukiangalia "huduma muhimu/chakula cha ndoa" kimesitishwa kwa muda until further notice ndo mama atazidi kupata wasiwasi.
Huyo mke na yeye mbona hamuamini mumewe kiasi hicho???? au huyo mshkaji hajatulia nini mpaka mke mke anakosa imani naye hivyo???

kama mambo yenyewe ndo hayo ya gym duuh mbona kazi nilikuwa nataka nikajieke sawa nianze gym lakini pananitisha hata kutumia mabafu yao ni balaa.

Bolded. nenda acha kisingizio weka taulo lako kwenye begi na kama unatumia hayo mabafu ogea sabuni ambazo ni medically tested e.g protex etc. Watz mazoezi ni haramu kwetu hasa wanawake wakifetua albamu 1 (mtoto) kwishne kabisa.

Kwanini daktari anataka wakatibiwe wote na mkewe na si yeye peke yake? Je daktari anahisi kwamba jamaa atakuwa kashamwambukiza mkewe?

Sababu ni kuwa labda amemwambukiza mke wake. Dalili ni siku 3 hivi ndio unajua umepata PANGUSA.
 
Mpe pole
Pili mwambie amwambie mkewe kwani hata akitibu mwenyewe haitasaidia
Mkewe atamwelewa tu kama ni mtu wa kuelewa ila kama sio wa kuelewa ndio hivyo tena
 
anasema yeye haogopi kwenda kwa matibabu ila anaogopa mkewe atareact vp anaweza ku respond kwa talaka. Anasema ana wivu kupindukia na hataki kuteteresha familia yake.
Sasa kama anaogopa kuvunjika kwa ndoa,muache avunjike uume!!
 
soo. inaisha kama ufuto! asilete mapozi bali atafute tiba fasta. suala la mke kudhania ni la baadae. kama anaogopa mke zaidi ya ugonjwa, poa tu
 
Back
Top Bottom