Wangapi mko tayari kuchangia gharama ya kesi ya kuomba kurekebishwa Sheria ya Mikopo?

Hatupo tayari kuchangia gharama zozote.

Kwani wabunge kazi yao nini? Si kutunga na kurekebisha sheria? Nenda kawakinaishe wabadili sheria kama unaona una hoja ya maana.

Usituletee mambo ya michango hapa. Tuliyonayo tumboni inatutosha.
Kwa heshima zote dada yangu naomba usiwasemee watu, acha wanao hisi kuguswa wachangie.
Uzuri mdau kaweka na utambulisho wake hivyo atafuatiliwa vizuri kusiwe na ulaghai.
 
Kwa heshima zote dada yangu naomba usiwasemee watu, acha wanao hisi kuguswa wachangie.
Uzuri mdau kaweka na utambulisho wake hivyo atafuatiliwa vizuri kusiwe na ulaghai.
Nawasemea wengi tu, wewe kama unachangia mimi hainihusu. Inayonihusu ni wasio changia tu.

Watanzania hatuendelei kwa michango hii. Harusi michango, kifo michango, sasa tena mambo ya mtu haipendi sheria au kanuni fulani michango!

Khaa! Inahusu nini? Ndiyo maana watu wanachangia wake na waume za watu kama hawana akili vizuri, si walichangia.
 
Sheria inasemaje kwa sisi ambao,tunaendelea kufanya biashara kwa usajili wa zamani..Au ndo tunatakiwa ku renew licence..
 
Kwa nini unawadanganya wadau? Mm kwenye hicho kikao nilikuwepo lakn mambo ya namna hii hayakufanyika kabisa!
 
Nimefurahi kuona kuna wadau mnaojali kuhusu hili suala.

Sasa naomba wale wote ambao mko tayari kulivalia njuga mnitumie namba zenu za simu kwa INBOX
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…