GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"Aisee! Wanafiki ni watu wabaya sana.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mbona maneno ya kawaida hayo ,yani ndio umeyajua jana..? Mi hua nakwambia we jamaa ni mpumbavu sana"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"
Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko wanavyojua.
Asante sana Meddie Kagere hakika, "UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"!
Kudadadeki....!!
Upo sahihi mwamba"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"
Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko wanavyojua.
Asante sana Meddie Kagere hakika, "UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"!
Kudadadeki....!!
Mandunduka yanandunduka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makolo