Wangapi tumependa Maneno aliyoyaandika Mchezaji Meddie Kagere katika 'Flana' yake Jana?

Wangapi tumependa Maneno aliyoyaandika Mchezaji Meddie Kagere katika 'Flana' yake Jana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"

Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko wanavyojua.

Asante sana Meddie Kagere hakika, "UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"!

Kudadadeki....!!
 
Kama unamjua mnafiki twambie
FB_IMG_1704015710894.jpg
 
Nyani katema Bungo.🤣🤣

Nasikia Kolo anataka kusajili raia ndugu na MK kwa kutumia ushawishi wake.

Mwamba kawakataa
 
"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"

Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko wanavyojua.

Asante sana Meddie Kagere hakika, "UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"!

Kudadadeki....!!
Mbona maneno ya kawaida hayo ,yani ndio umeyajua jana..? Mi hua nakwambia we jamaa ni mpumbavu sana
 
"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"

Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko wanavyojua.

Asante sana Meddie Kagere hakika, "UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"!

Kudadadeki....!!
Upo sahihi mwamba
 
Back
Top Bottom