Wangapi tupo Coper 1 aka Juma Kaseja

Status
Not open for further replies.

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Kijana wa watu wanamwandama sana, maneno maneno mengi, kama zama za Manula zimeisha basi apishe wengine.

Nyota ya mtu iking'aa huwezi kuizima. Mtameza sumu mfe huku mnajiona.

Tunashangaa kuona sasa hivi anashindanishwa kwa maneno kwamba nani mzuri kati yake na Manula, wamwache Kaseja, na yeye ale riziki yake, apate ulaji na mikataba kimono, amesota na kusubiri sana, hatutaki siasa kwenye mpira, figisu figisu hatuzitaki.

Coper 1... haipotei!
 
Waambie waache chuki... Mume wako "Kaseja," mbona yupo vizuri tu
 
Apate mikataba minono kutoka wapi?
Timu ya taifa haina mikataba
 
Kwa uhakika kipimo cha Kaseja anacho
Yy mwenyewe.

Kiukweli na uhalisia Kaseja kaisha lkn unampima na nani?

Uwezo wa sasa wa Kaseja ,ukimpima na makipa wengine bado Kaseja yupo juu juu sana.

Lkn Kaseja ukimpima na Kaseja yule aaaah tuacheni Utani.

Ushauri kwa mliokaribu na Kaseja huyu wa sasa mshaurini aaache kuzikimbilia media na kuhojiwa sana . awe kama wakongwe wenziye Kelvin , Nyoni na Bocco kazi nyingiii media no.
 
Kaseja ndio alimuiba MKE Wa Athumani Iddi ,Athumani Iddi akagoma kucheza simba
 
Mimi naona mleta mada ndio una chuki kwani kuna tatzo gani kama kocha atamchagua kaseja au manula au golikipa yoyote yule kulingana na kiwango alichoonyesha mchezaji kwa wakati husika
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…