WANGAPI WAMEISHAWAHI KUJIBU SWALI LA KIPIMA JOTO ITV?

ISLETS

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
8,120
Reaction score
5,352
Huwa najuiliza hivi ni kweli zile takwimu zao ni maoni ya wachangiaji..!! si kwamba ni takwimu mbaya, la, bali huwa nahisi hakuna watu wanaofuatilia kipima joto cha kila siku na kujibu zile NDIO, HAPANA au SIJUI.
Binafsi sijawahi hata kufikiria kujibu, huwa nasikiliza tu halafu ndio imepita hivyo.
 
Sijawahi hata kufikiria kujibu kwenye kipima joto.
 
nikweli aisee hawa jamaa itakuwa wajaa wanatafuta kiki kwa mabosi zao waonekate wanafanya kazi

mfano EITV zile post za facebook hazina maana yoyote mara ya misho kufatilia pist zao ulikuwa jana et wanampmbanisa Reyvvan na harmonise
mara kiba na mond
mara zari na wema
mara mwanasheria wa chama ma mwanasheria wa serekali
mara lowassa na magufuli
mara tundu lisu na lowasaa
kwakweli hv vyombo vyetu vya habari upuuzi mtupo ukija kwenye upande wa redio ndo kabisaa unaweza kuzimia kunamaneno ya ajabu kwenye matangazo yao utasikia
mara fiesta
mara imooooooo huu msemo sjui unamaana gani
mara tunasepa na kijiji

DAH TZ BUANA sitaki puvu kama huja elewa pita kushoto
 
Sijawahi hata kufikiria kujibu kwenye kipima joto.
na maswali yenyewe ndio vile tena unakuta jibu liliishajulikana kuwa litakuwa ndio au hapana hata kabla ya watu kuanza kujibu
 
Jana nilikuwa natazama Clouds Tv, Babuu wa Kitaa anamwita baba wa marehemu Kanumba eti Mshua. Niliona jamaa kama akili hazimtoshi kabisa.
 
hizo battle za kuaibisha watu hata mi kweli zinanikera sana, na ni moja ya sababu zilizofanya nikai unlike hiyo channel na ku unfollow kwenye social networks ili nisione upuuzi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…