Kongosho kulala tofauti yes tunafanya hivo but mi wanangu wamekuwa saiv wana 5 na 8 mdogo mdadisi sana na mkubwa she is a silent observer! Huu udadisi wanaupata ktk age hizi saiv si wanaingia chumbani?
Ukiacha wakiwa wadogo! Huko kwenye udogo Mungu alifanya jambo jingine tofauti! Hakuna mtu anakumbuka kitu at that age so memory zotevzinakuwa deleted! But hii iam telling you wanakuwa nayo! Kama mama wa vibinti vyangu hivyo nafikiria nifanye sasa kama sijachelewa? Pengine mpka hapa bado hawatakumbuka kitu!