Wangapi wanafanya hivi?


Yes kinakuwa danganya toto maa. . Iyo issue ya kutolala pamoja achana nayo aisee maana ya ndoa ni kulala pamoja yani ucku kama mtu moja kalala acha kbss. .
 
Inategemea na akili ya mtoto,mtoto mwingine ni mchunguzi na hata ukimdanganya haisaidii,lakini ukimweleza kwa maneno yanayofaa kwa umri wake atakuelewa lakini dawa si kudanganya. Ni sawa na kusema mtoto kanunuliwa au kapatikana baharini akienda shule za siku hizi wanawaeleza watoto namna mtoto alivyopatikana ,hiyo iakuwa imekula kwako mzazi.
 
Me bado nakumbuka mpk nimefika darasa la sita nilikuwa nalala na mama chumbani wka baba, baba alikuwa na kitanda chake na mama alikwua na kitanda chake ila ckumbuki kama walikuwa wana-do saa ngapi? na ckuwahi kujiukliza hivyo mpk leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…