Wangapi wanakubaliana na hili?

Asante. Nakutakia heri na wewe pia. I hope sasa unapambana kutekeleza "ilani ya uchaguzi ya Afrodenzi kwa mwaka 2011."

asante sana...
mmmhh nimeanza campeni lakini so far sio nzuri..
nasubiria muda usonge mbale labda kutachangamka
hahhahahha lol
 
Pole mwaya......... unajua surprise ni vizuri ikabaki surprise, naona niishia kujisurprise mwenyewe hahah
 
asante sana...
mmmhh nimeanza campeni lakini so far sio nzuri..
nasubiria muda usonge mbale labda kutachangamka
hahhahahha lol

Mambo ni pole pole!! Ikifika june ndo unafanya evaluation kama at least umefikia nusu. Labda mimi kwa June hiyo nitajipima kama nimefanikiwa katika katika kampeni yya Open Spirit. Lol!!!!
 
So far so GOOD siju huko mbele, au wewe umeshakuona kukoje?! hopefully sio kubaya ahaha lol
mmmhhhhh mbele si kubaya sana..
lakini nilichungulia tu nikifika huko ntakujulisha...
 
Pole mwaya......... unajua surprise ni vizuri ikabaki surprise, naona niishia kujisurprise mwenyewe hahah

hahahahhaha lol
hopeful next time
hiyo surprise itaniikia na mie..

nataka kushangaa hahaah lol
 
mmmhhhhh mbele si kubaya sana..
lakini nilichungulia tu nikifika huko ntakujulisha...
Haya asante ...........mie nkadhani tunafika wote huko........haha lol....... basi ukifika uniambie
 
Mambo ni pole pole!! Ikifika june ndo unafanya evaluation kama at least umefikia nusu. Labda mimi kwa June hiyo nitajipima kama nimefanikiwa katika katika kampeni yya Open Spirit. Lol!!!!

hahahhahahah lol
open Spirit haina hata uchaguzi karibu hahah lol

yeah pole pole ndo mwendo usijali ikifika hiyo miezi ya
katiati ndo ntaa kwambia naenda mbele au naanza moja hahah lol
 
asante sana...
mmmhh nimeanza campeni lakini so far sio nzuri..
nasubiria muda usonge mbale labda kutachangamka
hahhahahha lol

Ngoja nikimbie "nyumbani" kidogo maana giza limeshaingia. Nadhani uko kwenu NZEGA bado ni mchana. Poa, kesho.
 
Haya asante ...........mie nkadhani tunafika wote huko........haha lol....... basi ukifika uniambie

hahahah itabidi mie nitangulie kwanza..
ka ni kwema basi nta kwambia uje..
lakini ka nikinyumr na hapo borea ubakie hapa
hahah lol

im just looking out for u ..lol:hug:
 
Ngoja nikimbie "nyumbani" kidogo maana giza limeshaingia. Nadhani uko kwenu NZEGA bado ni mchana. Poa, kesho.

huku ndo saa saa sita mchana ijumaa lakini lol

haya mkuu vizuri kukutana na we tena
Take care..
 
hahahah itabidi mie nitangulie kwanza..
ka ni kwema basi nta kwambia uje..
lakini ka nikinyumr na hapo borea ubakie hapa
hahah lol

im just looking out for u ..lol:hug:
u'r so considerate, where will I be without u :hug:
 
u'r so considerate, where will I be without u :hug:

mmmmhhhh now u got me thinking mmmmmhhh where will u be without me
hahahahhaha lol
unavituko wewe....
 
mmmmhhhh now u got me thinking mmmmmhhh where will u be without me
hahahahhaha lol
unavituko wewe....
hahah vituko vipi tena mie nimeshukuru maanake very few pple can do that...
looking out for me...............Am I not lost without u? .......LoL
 
hahah vituko vipi tena mie nimeshukuru maanake very few pple can do that...
looking out for me...............Am I not lost without u? .......LoL

mmhh haya sijui tunaelekea wapi...
maana hapa kipofu anamsaidi kipofu kuvuka barabara hahah lol
 
hahahah itabidi mie nitangulie kwanza..
ka ni kwema basi nta kwambia uje..
lakini ka nikinyumr na hapo borea ubakie hapa
hahah lol

im just looking out for u ..lol:hug:

:frusty::frusty::frusty::smash::smash::attention::attention::closed_2:
 
hahah vituko vipi tena mie nimeshukuru maanake very few pple can do that...
looking out for me...............Am I not lost without u? .......LoL

:mad2::mad2::tape::tape::doh::doh::wave::wave:
 
mmmmhhhh now u got me thinking mmmmmhhh where will u be without me
hahahahhaha lol
unavituko wewe....

..........,,,,,,,!!!!!!!!!??????????????:doh::doh::tape2::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…