Wangapi wanakubaliana na hili?

Ten sauzend inatosha hommie ba Enock lazima aende lupango bana! Hawezi kutufanyia skulimeti zake hivi kabsaa!

Kimey, (Posted Via Mobile)::

Tukutane JeiJei saa 11 jioni leo ili niweze "kusawazisha" mambo - Open Relationship ina karaa zake bana!
 
SAA South African Airwavys...
SAS South African Sex
 
asante mkuu..
hapo uliposema panapo upendo kuna wivu
yaani hapo umekanusha kila kitu...

mmmhhhh samahani kuuliza we bado uko single au ulisha mpata kimwana lol
Mwenzangu bado nipo Single lakini soon itabidi nifanye update.... Vipi mwenzangu is there any lucky guy in your life
 
Retired comedian! Najaribu kunoa kipaji changu cha zamani....vipi kimekutia au kukutoa hamu?

mmmmhhh babu hichi kipaji naoana si cha zamani naoan ndo kinaanza lol
iwi mie kimeniingia hahahahah lol
 
mmmmhhh babu hichi kipaji naoana si cha zamani naoan ndo kinaanza lol
iwi mie kimeniingia hahahahah lol

Hiyo inaitwa seducing calling...you have been warned.....inakuwaje kikuingie bila ridhaa ya babu. Hayo ni Matumizi mabaya ya vifaa vya babu....second warning!
 
Mwenzangu bado nipo Single lakini soon itabidi nifanye update.... Vipi mwenzangu is there any lucky guy in your life

safi kaza mwendo
utafanikiwa tu,.......
mie campan ntaanza soon lakini sina haraka lol
 
Hiyo inaitwa seducing calling...you have been warned.....inakuwaje kikuingie bila ridhaa ya babu. Hayo ni Matumizi mabaya ya vifaa vya babu....second warning!

Nimekuuliza unatafuta nini kwenye hii thread hapa hakuna nyonyooooooo kama jei jei
 
Hiyo inaitwa seducing calling...you have been warned.....inakuwaje kikuingie bila ridhaa ya babu. Hayo ni Matumizi mabaya ya vifaa vya babu....second warning!

uwi babu
baba watoto wangu TF aliniruhusu
hahahah lol
 
safi kaza mwendo
utafanikiwa tu,.......
mie campan ntaanza soon lakini sina haraka lol

Kweli kabisa haya mambo hayataki haraka wala kuwa forced.... siku ukiona anayefaa hata hakuna haja ya kuomba ushauri au kujiuliza mara mbili...

And the best case ukipata, lover, a friend and a partner (all into one) yaani mtu ambae mna same interests, na mnaendana kimawazo.... that a marriage made in heaven...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…