pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
mie naona hio iko poa pale ndoa inapofikia kati hamna jipya tena la kujifunza kutoka kwa mwenzio,hivyo unatafuta pa kuspice up mambo!............nahisi mmoja wenu akinogewa nje possibility ni kubwa ya kuvunja uhusiano wenu,hivyo siwashauri wanandoa wakafanya hivyo besides kama mtu unampenda sana utamuonea wivu hutataka ale raha na mtu mwingine!..............................
loveless mariage ndio zinaweza zikadapt huo mfumo sababu zenyewe zinaoperate kama machine no emotions involved.
loveless mariage ndio zinaweza zikadapt huo mfumo sababu zenyewe zinaoperate kama machine no emotions involved.