Wangapi wanakubaliana na hili?

Wangapi wanakubaliana na hili?

..........,,,,,,,!!!!!!!!!??????????????:doh::doh::tape2::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:

afadhali hata unywe kahawa ...
ukimaliza take a dip breath kabla hujapandisha madadi tena hahahh loll
 
Hutaki wewe ubunge wa kuteuliwa? Usimuudhi Rahisi

hahahahah lol
mie sitaki
ntajichagua mwenyewe na kuongoza serikali yangu mwenyewe..
halafu matatizo ya kuchakachuliwa hayatakuwepo..lol
 
hahahahah lol
mie sitaki
ntajichagua mwenyewe na kuongoza serikali yangu mwenyewe..
halafu matatizo ya kuchakachuliwa hayatakuwepo..lol
Pole mwaya ......naona nimekuuzia kesi...........ila najua wewe sio wa kuchakachuliwa
ni Mrs wa ukweli au nakosea? LOL
 
Pole mwaya ......naona nimekuuzia kesi...........ila najua wewe sio wa kuchakachuliwa
ni Mrs wa ukweli au nakosea? LOL

hahahaha lol afadhali umerudi lol
 
watu wawili wanapendana sana .. nani wanandoa kwa muda wa miaka 6..
mama kagundua baba anatoka nje ya ndoa....
alichofanya alimshauri mmeo wawe na open Relationship
....

Je jamani nataka kujua ni wangapi wangekubaliana na hili???

samahani kuhusu dini wao ni wale watu wanaojiita Free Spirit
Hii ina utata sana.Kwanza wanapendana sana,halafu mwingine ana infidelaiz...Hapo hakuna cha kupendana.Waanza kupendana kwanza ndo mambo matatizo mengine yataisha.
 
Hii ina utata sana.Kwanza wanapendana sana,halafu mwingine ana infidelaiz...Hapo hakuna cha kupendana.Waanza kupendana kwanza ndo mambo matatizo mengine yataisha.

mmhhh ZD ni ngumu kuamini lakini wanaishi kwa amani sana..
na wanasema wanapenda sana na wanapenda kuwa huru..
ndo maana wakakbalia mkataba huo....


Heri ya mwaka mpya dear....
 
mmhhh ZD ni ngumu kuamini lakini wanaishi kwa amani sana..
na wanasema wanapenda sana na wanapenda kuwa huru..
ndo maana wakakbalia mkataba huo....


Heri ya mwaka mpya dear....
:director::director::director::director:
 
Shikamoo Babu MJ1 alikuwa anakutafuta..
anataka kukaguliwa ...
hahahah lol

Ananitafutia wapi? Hebu leta link...tangu nikukague nimepata mkosi wa kukagua. Siku ile uliogea magadi?
 
Ananitafutia wapi? Hebu leta link...tangu nikukague nimepata mkosi wa kukagua. Siku ile uliogea magadi?

mmmmhh babu hapa hapa
rudi kwenye page ya 14 utaona lol..

hahahahhah lol mmhh kwakweli mie sijui nini hata muulize TF aliweka nini kwenye chai yangu lol
 
mmhhh ZD ni ngumu kuamini lakini wanaishi kwa amani sana..
na wanasema wanapenda sana na wanapenda kuwa huru..
ndo maana wakakbalia mkataba huo....


Heri ya mwaka mpya dear....
Thanks AD.Merry new year to you!
Hao hawajui maana ya UPENDO.Upendo ndani yake una uvumilivu.lakn kama kweli wanapendana huko nje wanatafuta nini? Mie ningewashauri wakae na kutafuta kiini cha tatizo.vinginevyo the relation is not going to last long...
 
Thanks AD.Merry new year to you!
Hao hawajui maana ya UPENDO.Upendo ndani yake una uvumilivu.lakn kama kweli wanapendana huko nje wanatafuta nini? Mie ningewashauri wakae na kutafuta kiini cha tatizo.vinginevyo the relation is not going to last long...

kiini cha tatizo ni kwamba mama aligungua baba ana toka nje ya ndoa yao...
kwa vile mama bado anampenda baba ...
ndo aka suggest hii open relationship ili awe free..
na baba akakubali ...
kwa sababu baba naye anadai anampenda mkeo..
 
:director::director::director::director:
Shikamoo Babu MJ1 alikuwa anakutafuta..
anataka kukaguliwa ...
hahahah lol
Ananitafutia wapi? Hebu leta link...tangu nikukague nimepata mkosi wa kukagua. Siku ile uliogea magadi?
mmmmhh babu hapa hapa
rudi kwenye page ya 14 utaona lol..

hahahahhah lol mmhh kwakweli mie sijui nini hata muulize TF aliweka nini kwenye chai yangu lol
hahahahh babu.
.
punguza kutabasamu utapoteza tena hayo meno mapya ....

HUYU MZEE ATAKUFA WAKATI SIKU SIKU ZAKE HAZIJAFIKA
 
Ni bora kuwa wakweli kuliko kudanganyana mnapendana huku mnatoka nje kisirisiri.
 
Back
Top Bottom