Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 597
- 549
Sijakataa lakini babu maini nusu 3500 hapo tu tayari -2500Ila mkuu unakuta unga upo mafuta yapo mchele upo yy ni mbogatu kwa kujibana hiyo hela mbona kubwa mkuu
Cheki mnaf na nchicha upo hadi wa mia 200 sembuse hiyo pesa