Wangui na Wambui (murder probe)

Nimeona u tube inasikitisha kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliona You tube nikafatilia pia page Mary Kory,Christmass walikuwa likizo na mme wake na watoto. Judy itakuwa wivu ulikuwa unamsumbua. Hata siku ameenda kwa Mary. Kori alilala kwa mke wake Mary. Hii issue ni fundisho pia. Kuwa Nyumba ndogo hazifurahii uwepo wa mahusiano ya mke na mmewe.
 
Dah!! Kweli malipo hapa hapa duniani mkuu,navuta picha Grace atakuwa anasherehekea kimya kimya.

Jamaa atakuwa anawatembezea koki sana maana iyo mipango ya kando watakuwa wengi tofauti na Judy.


Sent using Jamii Forums mobile app
Grace alihojiwa mwanzoni,anasema naamini Kori ni innocent cause he loves hard. Tena anasema aliwahigi kumpigia simu Mary. Baadae Kori akajua akamfokea Grace na kumlazimisha apige simu kwa Mary kumuomba msamaha. Imagine mme anamwambia mkewe eti akamwombe msamaha mchepuko. Grace lazima kafurahia maana anakumbuka Mary ndo alikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa yake.
 
mbona inafanania na ile kesi ilowahi postiwa humu jf, kesi ya miaka themanini ya mwanamama aliyekuwa akiishi maeneo ya upanga, aliyeitwa Asha Mkwizu, ambaye alimuua mchepuko wa mumewe kisha akaenda mtupa kwenye shimo jipya la kutupa taka aliloagiza mfanyakazi amchimbie,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui wakikuyu walikufanyia nini na wewe ni mtanzania.
Anyway, did you have to generalize? You want us to believe that every Kikuyu woman is diabolical coz mmoja ametekeleza mauaji? Discard that medieval brain and purchase another one!
Kule nilikuambia kila sehemu washenzi wapo baada ya kuwaita wa TZ wauaji,ss hapa sijui hao kina wambui nao ni Wa TZ!
 
Body language inaonesha wazi mlishwaji hakuwa na guts za kumwangalia mwenzake usoni..

Jr[emoji769]
 
Kule nilikuambia kila sehemu washenzi wapo baada ya kuwaita wa TZ wauaji,ss hapa sijui hao kina wambui nao ni Wa TZ!

Mauaji ya kwenu hayana mfano duniani, mnachinja albino na watoto na kunyofoa viungo vyao eti viwatajirishe na wengine kuamini vitawasaidia kushinda kwenye uchaguzi. Akili za ovyoo sana zenu nyie.

Mauaji baina ya michepuko ni jambo la kawaida kwenye historia ya dunia, kawaida kwenye mahusiano ya ndoa ukiingiza mtu wa tatu na bila kuwa makini kwa jinsi unavyocheza huo mchezo, lazima utegemee majanga. Mwanaume lazima ujue kupanga karata zako, weka mchepuko mbali na mkeo, hakikisha usiri wa kiajabu.

Halafu hapo kwenu kuna maeneo mkoa wa Kilimanjaro huwa naskia wanawake huishi wenyewe baada ya kuwaua waume zao, hebu nihadithie kisa nini.
 

Kweli Mr hapa kaushauri kazuri kwa sababu mchepuko hauepukiki lakini with care. Kumbuka tu kama una mke na humpendi usimwoshe kwa kukomoa at unaenda kuweka picha kwa mchepuko, don’t dare, mipaka muhimu
 
ila watu wa central kenya hamna tofauti na watu wa kasikazini mwa tanzania kwenye kutafuta mafanikio.

kwenu kuondoa uhai wa mtu ili mfanikiwe kimaisha ni jambo la kawaida sana.

slogan yenyu ni "mafanikio kwanza, utu na ubinadamu baadaye".

rafiki yangu mmoja mkenya aliwahi kunisimulia visa na mikasa ya kutisha ya baadhi ya watu wa central kenya iliyopelekea kufanikiwa kwao kibiashara. inatisha sana.
 

Nakubali hali hii ipo Tanzania na inatokana na imani binafsi za watu wachache ambao kadri siku zinavyoenda tunadhibiti hali hiyo. Lakini Kenya is horror country kwanini nasema hivyo ninyi mnatagert intellectuals see Carolina, Onjiwa, Msando wa tume ya uchaguze mwanatechnologia aliyekuwa potential ya nchi n. k hata nikitaja siwamalizi mna roho mbaya sana wakati wa mauwaji, wakati mwingine mnatesa hao watu kwa kuwachoma mikuki midomoni, au kuwanyonga sasa hii ni nchi ya demokrasia kweli? Sisi walimteka Moo lakini wao wenyewe watekaji wakaona huruma wakamrejesha wangeweza wakamuua lakini wakagundua umuhimu wake ishaalah wakamwachia, lakini Kenya akishatoweka ujue mtaokota maiti. Acheni roho mbaya, Jengeni democrasia ya kukosolewa basi?
 
Body language inaonesha wazi mlishwaji hakuwa na guts za kumwangalia mwenzake usoni..

Jr[emoji769]
[emoji1][emoji1][emoji1] Jombaa huo hapo sasa ndio utamu wa kitimoto. Huwezi tafuna hiyo kitu ukiwa umekodoa macho.
 

Hilo la baadhi ya ndugu zangu kutoka mkoa wa kati sitapinga, lina ukweli usiopingika maana takwimu za matukio huonyesha wanahusika pakubwa katika baadhi ya haya mambo. Lakini ukubali na kwenu pia kuna unyama uliopitiliza, kisa mnasaka utajiri, ndio hayo hayo ya 'mafanikio kwanza, utu na ubinadamu baadaye', kuchinja albino na kunyofoa viungo vya watoto ili utajirike au ushinde kwenye uchaguzi ni unyama ambao haujaskika kwenye nchi nyingine yoyote duniani ila Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…