Wankyo Nyigesa, RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Akasome magazeti sasa tamaa mbaya sana. Akiwa IGP kesho atatamani uraisi
 
Akasome magazeti sasa tamaa mbaya sana. Akiwa IGP kesho atatamani uraisi
 
I wish I could be IGP imemtokea puani, huu ni uhaini huwezi tamani kiti cha boss wako akiwa amekikalia.
 
Duuuhhh......akipelekwa Desk Kule HQ Dom atamlilia Nani? Ngoja tuone! Au jamaa alishaweka kambi Mkoa wa Pwani ? As huwezi kutoka Bandari ya DSM Na usipite Mkoa wa Pwani!!!!!!kipolisi Pwani kitovu cha ulaji!!!!!
Yametimia ,keshapelekwa Desk HQ .....na faili la uchunguzi juu.....Ila NI homeboy yataisha!
 
Ww ndio wale wale wakipata uongozi unajitutumua kama kifutu na kununa kila sasa.
Kuna maisha nje ya kazi na vyeo, ilikuwa hafla /sherehe ulitaka awe kama yuko kwenye gwaride? Acha ushamba wa kijinga maisha sio complicated hivo
Kua kwanza...Bado yanki mno
 
Kweli bangi sio maji ya kunywa
 
Ukisikia "uchawa "ndio kama huo sasa
 
I wish I could be IGP in Magu's voice, Magufuli mwenyewe aliitamani sembuse Wankyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…