Wanne wahukumiwa kunyongwa hadi kufa Tabora

Wanne wahukumiwa kunyongwa hadi kufa Tabora

Sijawaelewa hao mawakili wa utetezi,mbona like kama na wao wamechangia kuwapiga nyundo wateja wao?
 
Hii sheria ya kunyongwa hadi kufa, inatekelezwa kweli hapa nchini!
 
Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.
Sasa walitetea nini
 
Mawakili wa utetezi si ndio wale wapo upande wa mteja, sasa iweje wamepalia moto wa makaa ya mawe kwa wateja wao imekaaje hii wakulungwa
 
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wakazi wa Kata ya Usunga Wilaya ya Sikonge kwa kosa la kumuuwa Alfred Lusamalo aliyekuwa Diwani (CCM) miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.

Waliohukumiwa kunyongwa ni Nelson Mlela (37), Masemba Lusangija (36), Ramadhani Saidi (29) na Abdallah Habibu (30).

Akitoa hukumu hiyo Juni 19, 2023, Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, Jovit Kato aliyekasimiwa kusikiliza mashauri ya mauaji amesema washtakiwa hao walitenda kosa la mauaji Machi 6, 2020.

Amesema waliosababisha kumuua Diwani huyo ni Masemba Lusangija ambaye alikuwa msimamizi wa mifugo yake na Nelson Mlela akiwa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji ambaye alikuwa anataka kugombea udiwani katika kata hiyo.

Hakimu Kato amesema washitakiwa hao walikuwa wakienda nyumbani kwa marehemu mara kwa mara wakiwa wanajipanga kwenda kufanya mauaji ya diwani huyo.

Amesema mshitakiwa Masemba Lusangija alikuwa na tamaa ya kumiliki mifugo ya marehemu ambayo aliyokuwa akiichunga huku Nelson Mlela akiwa na tamaa ya kupata madaraka ya udiwani nafasi iliyokuwa inashikiliwa na marehem Alfred.

Amesema washtakiwa wote walikwenda kukaa darajani wakimvizia marehemu kwa kuwa alikuwa mnywaji wa pombe na kufanikiwa kumpata wakati anarudi nyumbani kwake kisha kumuua kwa kumkata mapanga.

Awali Mawakili Upande wa Jamhuri wakiongozwa na Alis Thomas na Steve Mzava, waliiambia Mahakama hiyo itoe adhabu kali kulingana na tukio hilo la mauaji.

Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.

MWANANCHI
"Alikuwa na tamaa ya kumiriki mifugo ya marehemu"
Alikuwa na tamaa ya kuwa diwani"
Haya mambo mawili unayathibitishaje kisheria???
Laiti majizi ya EPA,escrow(,lowasa,kikwete)yangenyongwa.
 
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wakazi wa Kata ya Usunga Wilaya ya Sikonge kwa kosa la kumuuwa Alfred Lusamalo aliyekuwa Diwani (CCM) miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.

Waliohukumiwa kunyongwa ni Nelson Mlela (37), Masemba Lusangija (36), Ramadhani Saidi (29) na Abdallah Habibu (30).

Akitoa hukumu hiyo Juni 19, 2023, Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, Jovit Kato aliyekasimiwa kusikiliza mashauri ya mauaji amesema washtakiwa hao walitenda kosa la mauaji Machi 6, 2020.

Amesema waliosababisha kumuua Diwani huyo ni Masemba Lusangija ambaye alikuwa msimamizi wa mifugo yake na Nelson Mlela akiwa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji ambaye alikuwa anataka kugombea udiwani katika kata hiyo.

Hakimu Kato amesema washitakiwa hao walikuwa wakienda nyumbani kwa marehemu mara kwa mara wakiwa wanajipanga kwenda kufanya mauaji ya diwani huyo.

Amesema mshitakiwa Masemba Lusangija alikuwa na tamaa ya kumiliki mifugo ya marehemu ambayo aliyokuwa akiichunga huku Nelson Mlela akiwa na tamaa ya kupata madaraka ya udiwani nafasi iliyokuwa inashikiliwa na marehem Alfred.

Amesema washtakiwa wote walikwenda kukaa darajani wakimvizia marehemu kwa kuwa alikuwa mnywaji wa pombe na kufanikiwa kumpata wakati anarudi nyumbani kwake kisha kumuua kwa kumkata mapanga.

Awali Mawakili Upande wa Jamhuri wakiongozwa na Alis Thomas na Steve Mzava, waliiambia Mahakama hiyo itoe adhabu kali kulingana na tukio hilo la mauaji.

Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.

MWANANCHI
hii report ni ya uongo mtupu, ni kweli kuna hukumu ya hiyo kesi watu ni wanne
wawili walihukumiwa kunyongwa na wawili hukumu ya miaka miwili jela, na siyo wote wanne kunyongwa
 
Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo
Wakali wa utetezi kawatosa mazima wateja wake
 
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wakazi wa Kata ya Usunga Wilaya ya Sikonge kwa kosa la kumuuwa Alfred Lusamalo aliyekuwa Diwani (CCM) miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.

Waliohukumiwa kunyongwa ni Nelson Mlela (37), Masemba Lusangija (36), Ramadhani Saidi (29) na Abdallah Habibu (30).

Akitoa hukumu hiyo Juni 19, 2023, Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, Jovit Kato aliyekasimiwa kusikiliza mashauri ya mauaji amesema washtakiwa hao walitenda kosa la mauaji Machi 6, 2020.

Amesema waliosababisha kumuua Diwani huyo ni Masemba Lusangija ambaye alikuwa msimamizi wa mifugo yake na Nelson Mlela akiwa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji ambaye alikuwa anataka kugombea udiwani katika kata hiyo.

Hakimu Kato amesema washitakiwa hao walikuwa wakienda nyumbani kwa marehemu mara kwa mara wakiwa wanajipanga kwenda kufanya mauaji ya diwani huyo.

Amesema mshitakiwa Masemba Lusangija alikuwa na tamaa ya kumiliki mifugo ya marehemu ambayo aliyokuwa akiichunga huku Nelson Mlela akiwa na tamaa ya kupata madaraka ya udiwani nafasi iliyokuwa inashikiliwa na marehem Alfred.

Amesema washtakiwa wote walikwenda kukaa darajani wakimvizia marehemu kwa kuwa alikuwa mnywaji wa pombe na kufanikiwa kumpata wakati anarudi nyumbani kwake kisha kumuua kwa kumkata mapanga.

Awali Mawakili Upande wa Jamhuri wakiongozwa na Alis Thomas na Steve Mzava, waliiambia Mahakama hiyo itoe adhabu kali kulingana na tukio hilo la mauaji.

Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.

MWANANCHI
Sasa hao wakili wa utetezi ndio wametetea nini hapo? Halafu ushahidi gani walioutumia kuwatia hatiani?
 
1674493952087.jpg
 
Kuna watu wanafanya unyama mpaka uwetete labda ukaazime akili za masisisimiziem
Kuna watu wengi wanazani kua Mawakili wote wa utetezi hawana hofu ya Mungu hata ukikiri kua ni kweli uliuwa kwa makusudi au ulijapatia Mali kwa njia za udanganyifu bado ataendelea kukutea kua hujauwa! Kuna Mawakili wamenyooka sana na wala hawataki ujinga! Na Mawakili wa aina hiyo huwa siyo Watumwa wa pesa!!
 
Back
Top Bottom