Kua Wakili wa utetezi siyo lazima sana kila upuuzi uutetee, Mawakili wengi hapo ndiyo wanapofeli,wwe Jambo liko wazi lakini bado anakomaza shingo tu kwa kupinga!!Utetezi sijaelewa lengo lao, hawakulipwa?
Sasa walitetea niniUpande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.
Ata kama damu ya mtu mbaya sana utajikuta unaanza kujisema mwenyewe bila kushurutishwa.Ukitaka ua mtu iwe siri yako
"Alikuwa na tamaa ya kumiriki mifugo ya marehemu"Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wakazi wa Kata ya Usunga Wilaya ya Sikonge kwa kosa la kumuuwa Alfred Lusamalo aliyekuwa Diwani (CCM) miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.
Waliohukumiwa kunyongwa ni Nelson Mlela (37), Masemba Lusangija (36), Ramadhani Saidi (29) na Abdallah Habibu (30).
Akitoa hukumu hiyo Juni 19, 2023, Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, Jovit Kato aliyekasimiwa kusikiliza mashauri ya mauaji amesema washtakiwa hao walitenda kosa la mauaji Machi 6, 2020.
Amesema waliosababisha kumuua Diwani huyo ni Masemba Lusangija ambaye alikuwa msimamizi wa mifugo yake na Nelson Mlela akiwa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji ambaye alikuwa anataka kugombea udiwani katika kata hiyo.
Hakimu Kato amesema washitakiwa hao walikuwa wakienda nyumbani kwa marehemu mara kwa mara wakiwa wanajipanga kwenda kufanya mauaji ya diwani huyo.
Amesema mshitakiwa Masemba Lusangija alikuwa na tamaa ya kumiliki mifugo ya marehemu ambayo aliyokuwa akiichunga huku Nelson Mlela akiwa na tamaa ya kupata madaraka ya udiwani nafasi iliyokuwa inashikiliwa na marehem Alfred.
Amesema washtakiwa wote walikwenda kukaa darajani wakimvizia marehemu kwa kuwa alikuwa mnywaji wa pombe na kufanikiwa kumpata wakati anarudi nyumbani kwake kisha kumuua kwa kumkata mapanga.
Awali Mawakili Upande wa Jamhuri wakiongozwa na Alis Thomas na Steve Mzava, waliiambia Mahakama hiyo itoe adhabu kali kulingana na tukio hilo la mauaji.
Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.
MWANANCHI
Tabora siyo Kanda ya ziwaKanda ya ziwa kuuana ni Jambo dogo sana.
Tabora siyo Kanda ya ziwaKanda ya ziwa once again
Kanda ya MaghsrubiIko pwani
hii report ni ya uongo mtupu, ni kweli kuna hukumu ya hiyo kesi watu ni wanneMahakama Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wakazi wa Kata ya Usunga Wilaya ya Sikonge kwa kosa la kumuuwa Alfred Lusamalo aliyekuwa Diwani (CCM) miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.
Waliohukumiwa kunyongwa ni Nelson Mlela (37), Masemba Lusangija (36), Ramadhani Saidi (29) na Abdallah Habibu (30).
Akitoa hukumu hiyo Juni 19, 2023, Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, Jovit Kato aliyekasimiwa kusikiliza mashauri ya mauaji amesema washtakiwa hao walitenda kosa la mauaji Machi 6, 2020.
Amesema waliosababisha kumuua Diwani huyo ni Masemba Lusangija ambaye alikuwa msimamizi wa mifugo yake na Nelson Mlela akiwa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji ambaye alikuwa anataka kugombea udiwani katika kata hiyo.
Hakimu Kato amesema washitakiwa hao walikuwa wakienda nyumbani kwa marehemu mara kwa mara wakiwa wanajipanga kwenda kufanya mauaji ya diwani huyo.
Amesema mshitakiwa Masemba Lusangija alikuwa na tamaa ya kumiliki mifugo ya marehemu ambayo aliyokuwa akiichunga huku Nelson Mlela akiwa na tamaa ya kupata madaraka ya udiwani nafasi iliyokuwa inashikiliwa na marehem Alfred.
Amesema washtakiwa wote walikwenda kukaa darajani wakimvizia marehemu kwa kuwa alikuwa mnywaji wa pombe na kufanikiwa kumpata wakati anarudi nyumbani kwake kisha kumuua kwa kumkata mapanga.
Awali Mawakili Upande wa Jamhuri wakiongozwa na Alis Thomas na Steve Mzava, waliiambia Mahakama hiyo itoe adhabu kali kulingana na tukio hilo la mauaji.
Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.
MWANANCHI
Wakali wa utetezi kawatosa mazima wateja wakeUpande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo
Sasa hao wakili wa utetezi ndio wametetea nini hapo? Halafu ushahidi gani walioutumia kuwatia hatiani?Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wakazi wa Kata ya Usunga Wilaya ya Sikonge kwa kosa la kumuuwa Alfred Lusamalo aliyekuwa Diwani (CCM) miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.
Waliohukumiwa kunyongwa ni Nelson Mlela (37), Masemba Lusangija (36), Ramadhani Saidi (29) na Abdallah Habibu (30).
Akitoa hukumu hiyo Juni 19, 2023, Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, Jovit Kato aliyekasimiwa kusikiliza mashauri ya mauaji amesema washtakiwa hao walitenda kosa la mauaji Machi 6, 2020.
Amesema waliosababisha kumuua Diwani huyo ni Masemba Lusangija ambaye alikuwa msimamizi wa mifugo yake na Nelson Mlela akiwa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji ambaye alikuwa anataka kugombea udiwani katika kata hiyo.
Hakimu Kato amesema washitakiwa hao walikuwa wakienda nyumbani kwa marehemu mara kwa mara wakiwa wanajipanga kwenda kufanya mauaji ya diwani huyo.
Amesema mshitakiwa Masemba Lusangija alikuwa na tamaa ya kumiliki mifugo ya marehemu ambayo aliyokuwa akiichunga huku Nelson Mlela akiwa na tamaa ya kupata madaraka ya udiwani nafasi iliyokuwa inashikiliwa na marehem Alfred.
Amesema washtakiwa wote walikwenda kukaa darajani wakimvizia marehemu kwa kuwa alikuwa mnywaji wa pombe na kufanikiwa kumpata wakati anarudi nyumbani kwake kisha kumuua kwa kumkata mapanga.
Awali Mawakili Upande wa Jamhuri wakiongozwa na Alis Thomas na Steve Mzava, waliiambia Mahakama hiyo itoe adhabu kali kulingana na tukio hilo la mauaji.
Upande wa utetezi ukiongozwa na Amos Gehese akisaidiana na Agnes Simba waliiomba Mahakama itende haki kutokana na kosa lao ili iweze kuwa fundisho kwa watu wengine wenye nia kama hiyo.
MWANANCHI
Hata nami nna mashaka mkuuHii para ya mwisho ni uongoo
Wakikujibu nitagHii sheria ya kunyongwa hadi kufa, inatekelezwa kweli hapa nchini!
Kuna watu wanafanya unyama mpaka uwetete labda ukaazime akili za masisisimiziemYaani labda hawakulipwa pesa yao wakaona hawa washenzi ngoja tuwachome tu jumla
Kuna watu wengi wanazani kua Mawakili wote wa utetezi hawana hofu ya Mungu hata ukikiri kua ni kweli uliuwa kwa makusudi au ulijapatia Mali kwa njia za udanganyifu bado ataendelea kukutea kua hujauwa! Kuna Mawakili wamenyooka sana na wala hawataki ujinga! Na Mawakili wa aina hiyo huwa siyo Watumwa wa pesa!!Kuna watu wanafanya unyama mpaka uwetete labda ukaazime akili za masisisimiziem