Wanunuaji wa simu za smartphone used mnajihadhari vipi na ununuzi wa simu ambazo ni za wizi

Wanunuaji wa simu za smartphone used mnajihadhari vipi na ununuzi wa simu ambazo ni za wizi

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
726
Reaction score
476
Rejea kichwa cha habari,naongea na wanunuzi wa simu used hasa kariakoo mnachukua tahadhari mnaponunua simu hizo?mf jamaa wanaweza kuletewa simu dukan mtu analeta simu anaongezea na hela kidogo anachukua mzigo mwingine unakuta simu ameiiba,
Mf umenunua simu kumbe ya wizi polisi ,tcra wameitrack unakamatwa mchana kweupe unaonekana umenunua simu ya wizi au cm imepiga tukio mahali
Mnachuka tahadhari gani msije kununua simu ya wizi
 
ukinunua simu used hakikisha yafuatayo.
1: muuzaji awe na documents za ununuzi wa hiyo simu(receipt) kabla.
2:hakikisha mnaandikishana katika kituo cha polisi kilichokaribu.
3: katika kuandikishana tumia kitambulisho cha nida pamoja na kuweka sign kwa kutumia vidole.
4. Tunza receipt za mauziano kwa tahadhari yoyote itakayojitokez
 
Back
Top Bottom