Wanusurika kufa kwa kuhofiwa wauwaji

real toxic

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
533
Reaction score
104
wanachuo wawili wa chuo cha STEMMUCO kilichopo Mtwara wanisurika kuuwawa baada ya kihofiwa kuwa ni wauwaji kutokana na ugeni ambao wanakijiji walishindwa kuwajua vijana hao walioko Field katika kijiji kimoja kilichopo mpakani mwa Nachingwea na Luangwa. Walinusurika baada ya mwananchi mmoja ambae alikuwa ni mmoja wa wanakijiji hao kuja na kuwauliza kisha baadae akagundua kuwa ni walimu. Mkuu wa shule alionekana akilaumiwa kwa kitokutoa utambilisho kwa kijiji hicho ambacho kina matukio ya mauwaji ya wanawake.
 
Pole zao. Kazi zetu ngumu sana. Ika pia uandishi wako si haba
 
kuchukua hatua mikononi sababu ya kuvurugika usalama wa raia - poleni wananchi na hao walionusurika
 
Walimu doti comu hao, ticha kajinyuka zake mlegezo, mwondoko kama ana spring mguuni, afu mavazi ya kubana bana kama mvuvi...
Kwanini wanakijiji wasitie japo shaka, hao walimu wangekua na staha na maadili ya kazi wala hakuna wa kuwatilia shaka.
 
Wapi huko mkuu,Mkumba nini? ila nimesikia issue ya mauaji kwa wanawake kwamba wanauwawa kisha wanatumbukizwa jiti sehemu za siri.
 
Wapi huko mkuu,Mkumba nini? ila nimesikia issue ya mauaji kwa wanawake kwamba wanauwawa kisha wanatumbukizwa jiti sehemu za siri.

ndo huko huko mkuu...kuna walimu yaani bila yule mmoja wa wanakijiji kuchepuka na kuwafata wale vijana ,yaan ilikuwa kifo kwa vijana maana wanakijijini walikuwa na kila aina ya silaha za jadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…