Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Nyie hamjawasikia vema. Wasikilizeni kwa makini mtagundua. L ni R ni L. Bukuku katika ajabu shangaza BWANA anaimba AtakubaLIki Reo.
Za jioni wakuu. Tumetoka kuangalia video ya Bahati Bukuku na tumeangalia pia ya Bon Mwaitege. Nilichojifunza kwao na kwa wanyakyusa wote hawawezi kutamka vema heru L ambapo kila wakitaka kutamka herufi hii lazima watasema R. Mfano LEO watasema REO. MBELE-MBERE. Sasa naomba kuuliza mbona herufi L wanaishindwa?Wenu, Benokolongokonongose.
Hii nayo ni thread?put it in dustbin mods
Nyie hamjawasikia vema. Wasikilizeni kwa makini mtagundua. L ni R ni L. Bukuku katika ajabu shangaza BWANA anaimba AtakubaLIki Reo.
UnadanganyaaZa jioni wakuu. Tumetoka kuangalia video ya Bahati Bukuku na tumeangalia pia ya Bon Mwaitege. Nilichojifunza kwao na kwa wanyakyusa wote hawawezi kutamka vema heru L ambapo kila wakitaka kutamka herufi hii lazima watasema R. Mfano LEO watasema REO. MBELE-MBERE. Sasa naomba kuuliza mbona herufi L wanaishindwa?Wenu, Benokolongokonongose.
Za jioni wakuu. Tumetoka kuangalia video ya Bahati Bukuku na tumeangalia pia ya Bon Mwaitege. Nilichojifunza kwao na kwa wanyakyusa wote hawawezi kutamka vema heru L ambapo kila wakitaka kutamka herufi hii lazima watasema R. Mfano LEO watasema REO. MBELE-MBERE. Sasa naomba kuuliza mbona herufi L wanaishindwa?Wenu, Benokolongokonongose.
Za jioni wakuu. Tumetoka kuangalia video ya Bahati Bukuku na tumeangalia pia ya Bon Mwaitege. Nilichojifunza kwao na kwa wanyakyusa wote hawawezi kutamka vema heru L ambapo kila wakitaka kutamka herufi hii lazima watasema R. Mfano LEO watasema REO. MBELE-MBERE. Sasa naomba kuuliza mbona herufi L wanaishindwa?Wenu, Benokolongokonongose.
Wanyakyusa wanatumia L hawana R, hutaikuta popote katika maandishi au majina ya asili ya wanyakusa. sina hakika katika kutamka ila nijuavyo mimi wanyakyusa hawaezi matumizi ya R. Rehema wanatamka lehema n.kZa jioni wakuu. Tumetoka kuangalia video ya Bahati Bukuku na tumeangalia pia ya Bon Mwaitege. Nilichojifunza kwao na kwa wanyakyusa wote hawawezi kutamka vema heru L ambapo kila wakitaka kutamka herufi hii lazima watasema R. Mfano LEO watasema REO. MBELE-MBERE. Sasa naomba kuuliza mbona herufi L wanaishindwa?Wenu, Benokolongokonongose.