Wanyakyusa hizi ndio tabia zenu

Wanyakyusa hizi ndio tabia zenu

Majungu, unafiki na kusengenyana na kusutana misibani,
halafu mnazuga eti walokole.
Badilikeni.
NB

Bora ukweli uumao kuliko utani uchekeshao.


Huu ni zaidi ya uongo_thats all i can say.
 
Majungu, unafiki na kusengenyana na kusutana misibani,
halafu mnazuga eti walokole.
Badilikeni.
NB

Bora ukweli uumao kuliko utani uchekeshao.

Mkuu, nafikiri ingekuwa; bora utani uumao kuliko ukweli uchekeshao ingekuwa pouwaaaaa sana!
 
Majungu, unafiki na kusengenyana na kusutana misibani,
halafu mnazuga eti walokole.
Badilikeni.
NB

Bora ukweli uumao kuliko utani uchekeshao.

Nahisi huwafaham wanyakyusa, na umekurupuka kuandika hii mada! Wewe ni mtu wa kwanza kumsikia akiandika upuuzi wa namna hii kuhusu wanyakyusa! Meno yako ka punje za mahindi! Muone kwanza!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nahisi huwafaham wanyakyusa, na umekurupuka kuandika hii mada! Wewe ni mtu wa kwanza kumsikia akiandika upuuzi wa namna hii kuhusu wanyakyusa! Meno yako ka punje za mahindi! Muone kwanza!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums


ahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa_nine ngwitika nnkamu
 
huu uzi umeshaharibika tayari , tiiiiiiiiiiiii!!!!! humu kilugha tu kimetembea.
 
Back
Top Bottom