Hisha Sorel
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 192
- 140
Cc BujibujiMtu wa karibu kaachiwa hii note, ila imeandikwa kinyakyusa, hajui kukisoma akadhani mi najua; ila mi pia sifahamu.
Masaada basi kutafsili
Ngutufwa lelo jo nkinde
Ugwise gwa bololo
Umpela fyosa ifi swigu
Unsubisi mbutolwe
Unjosya goswa amasosi
Tuntufyu kala gwitu
Bikukutufya abandumi
Gwemwenu butwa bosa
Bi kutufya ni ifya nkisu
Ni ifya munyanja fyosa
Ni mu mpalangala injuni
Sikukutufya gwempeli
Tuntufye kyala gwetu
Asante sana
Bujibuji sio mnyakyusa Anatoka kikabila kimoja cha wachawi na wakabaji watu usikuCc Bujibuji
Bujibuji sio mnyakyusa Anatoka kikabila kimoja cha wachawi na wakabaji watu usiku
Namsifu aliye juu sanaMtu wa karibu kaachiwa hii note, ila imeandikwa kinyakyusa, hajui kukisoma akadhani mi najua; ila mi pia sifahamu.
Masaada basi kutafsili
Ngutufwa lelo jo nkinde
Ugwise gwa bololo
Umpela fyosa ifi swigu
Unsubisi mbutolwe
Unjosya goswa amasosi
Tuntufyu kala gwitu
Bikukutufya abandumi
Gwemwenu butwa bosa
Bi kutufya ni ifya nkisu
Ni ifya munyanja fyosa
Ni mu mpalangala injuni
Sikukutufya gwempeli
Tuntufye kyala gwetu
Asante sana
Mimi nilikamaya barua ya mapenzi kwenye mfuko wa Mr, imeandikwa Kifaransa.Unaachiwaje note ya kinyakyusa alaf ww sio mnyakyusa?
Mkuu ulijuaje kama ni ya mapenzi? [emoji28][emoji28][emoji28].Mimi nilikamaya barua ya mapenzi kwenye mfuko wa Mr, imeandikwa Kifaransa.
Nilifikiri kumtafuta mkalimani, mwisho wa siku niliona ni kujivua nguo. Nilikaawna mwenye barua yake akaniekeza mbivu na mbichi.Mkuu ulijuaje kama ni ya mapenzi? [emoji28][emoji28][emoji28].
Na je, Mr anaelewa hiyo lugha?
Shemeji yenu (mke wangu) anatokea huko Unyakyusani. Anasema eti kuna spelling mistakes kibao hadi "note" yako inapoteza maana!Mtu wa karibu kaachiwa hii note, ila imeandikwa kinyakyusa, hajui kukisoma akadhani mi najua; ila mi pia sifahamu.
Masaada basi kutafsili
Ngutufwa lelo jo nkinde
Ugwise gwa bololo
Umpela fyosa ifi swigu
Unsubisi mbutolwe
Unjosya goswa amasosi
Tuntufyu kala gwitu
Bikukutufya abandumi
Gwemwenu butwa bosa
Bi kutufya ni ifya nkisu
Ni ifya munyanja fyosa
Ni mu mpalangala injuni
Sikukutufya gwempeli
Tuntufye kyala gwetu
Asante sana
Shemeji yenu (mke wangu) anatokea huko Unyakyusani. Anasema eti kuna spelling mistakes kibao hadi "note" yako inapoteza maana!
Namsifu aliye juu sana
Baba wa wapole
Muumba maajabu.
Mfariji kwenye taabu
Mnyamazisha machozi yote.
Tumsifu Mungu wetu
Wanamsifu malaika
Wewe mwenye utukufu wote.
Wanamsifu na vya duniniani
Na vya baharini vyote
Hata mchana ndege
Wanamsifu muumbaji
Tumsifu Mungu wetu
Ndaga fijo👆😂😂
NdioTuntufye = tumsifu??