Wanyakyusa nisaidie kutafsiri hii note mtu kaachiwa

Wanyakyusa nisaidie kutafsiri hii note mtu kaachiwa

Namsifu aliye juu sana
Baba wa wapole
Muumba maajabu.

Mfariji kwenye taabu
Mnyamazisha machozi yote.

Tumsifu Mungu wetu
Wanamsifu malaika
Wewe mwenye utukufu wote.

Wanamsifu na vya duniniani
Na vya baharini vyote
Hata mchana ndege
Wanamsifu muumbaji
Tumsifu Mungu wetu

Ndaga fijo👆😂😂
Unaweza jua umeambiwa unapendwa kumbe mwenzako anaandika lyrics
 
Sikijui vizur ila hapo kwenye aya ya kwanza anasema "amekutana na mwanaume mwenye mkuyenge haswaa na yupo tayar alipiwe mahari"

Kwa hiyo ndugu yangu pole sana endelea kujifukiza na uvae barakoa
Jamani 😀😀😀 hiyo ni gospel song hata haihusiani na mikuyenge na papuchi kabisa😀
 
Back
Top Bottom