Wanyakyusa nisaidie kutafsiri hii note mtu kaachiwa

Unaweza jua umeambiwa unapendwa kumbe mwenzako anaandika lyrics
 
Sikijui vizur ila hapo kwenye aya ya kwanza anasema "amekutana na mwanaume mwenye mkuyenge haswaa na yupo tayar alipiwe mahari"

Kwa hiyo ndugu yangu pole sana endelea kujifukiza na uvae barakoa
Jamani 😀😀😀 hiyo ni gospel song hata haihusiani na mikuyenge na papuchi kabisa😀
 
Shemeji yenu (mke wangu) anatokea huko Unyakyusani. Anasema eti kuna spelling mistakes kibao hadi "note" yako inapoteza maana!
Kabisa, makosa mengi sana mfano, Kyala, kaandika Kala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…