Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Yanini kwenda oa Mbeya wanakokula nyama za watu? Njooni muoe Tanga, mtalishwa nyama nzuri, pilau kwa biriani zenye kusheheni mbuzi alonona. Mahaba utapewa mpaka ujne uko peponi, kitandani twamwaga maua ridi na maua jasmini. Huko Tukuyu wayajua haya?Ngoja waje wanyakyusa wenzangu waongelee hizi shutuma
Mh! Sika syanaloli hisi.
Ngoja waje wanyakyusa wenzangu waongelee hizi shutuma
syanaloli bhalipo ku-Ikuti.Mh! Sika syanaloli hisi.
Wanyakyusa naomba mnisaidie.
Mdogo wangu anataka kuoa Tukuyu, Mbeya, ameshauriwa auchunguze ukoo wa msichana wake asije akawa ni MNYAMANYAFU.
WANYAMANYAFU eti wanakula watu na ni wachawi sana.
Na eti tafsiri ya NYAMANYAFU ni nyama tamu.
Naombeni msaada wenu jamani, ili tujue namna ya kuwatofautisha Wanyakyusa safi na Wanyamanyafu
Mkuu Bujibuji, umesoma location yangu eeh? Kweli wapo maeneo ya Ikuti, hapa tky town ukoo wao uko eneo liitwalo bagamoyo. They are real cannibers.
Bhanyakyusa tulipo, une ndi Nyakyusa losa.
Isi ngujoba sili syanaloli, abhamanyafu bakali balipo, balosi bakindilile
syanaloli bhalipo ku-Ikuti.
Mkuu Bujibuji, umesoma location yangu eeh? Kweli wapo maeneo ya Ikuti, hapa tky town ukoo wao uko eneo liitwalo bagamoyo. They are real cannibers.