Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wanyakyusa naomba mnisaidie.
Mdogo wangu anataka kuoa Tukuyu, Mbeya, ameshauriwa auchunguze ukoo wa msichana wake asije akawa ni MNYAMANYAFU.
WANYAMANYAFU eti wanakula watu na ni wachawi sana.
Na eti tafsiri ya NYAMANYAFU ni nyama tamu.
Naombeni msaada wenu jamani, ili tujue namna ya kuwatofautisha Wanyakyusa safi na Wanyamanyafu
Mdogo wangu anataka kuoa Tukuyu, Mbeya, ameshauriwa auchunguze ukoo wa msichana wake asije akawa ni MNYAMANYAFU.
WANYAMANYAFU eti wanakula watu na ni wachawi sana.
Na eti tafsiri ya NYAMANYAFU ni nyama tamu.
Naombeni msaada wenu jamani, ili tujue namna ya kuwatofautisha Wanyakyusa safi na Wanyamanyafu