Wanyama hawa kwenye ukwasi na starehe na maruhani ya lugha

Wanyama hawa kwenye ukwasi na starehe na maruhani ya lugha

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kama unadhani maruhani yapo kwa viumbe hai utakuwa umekosea sana.. Maruhani yapo pia kwenye vitu visivyo na uhai na lugha pia
Hebu waza kwa makini usahihi wa sentensi kama hizi
1. Maji yameenda kuchotwa
2. Nimemkuta hayupo
Na watu daily wanazitumia bila shaka kabisa...

Sasa kuna hili la wanyama wanaotumika kama kiambishi cha ukwasi na starehe.. Nine's usiku mzima mfanano wake walau kwa mbali tu nimekosa kabisa
Nimechunguza kwa makini mno ni kwa namba yani vinashabihiana pia nimeshindwa kabisa

Mnyama kuku.. Kula kuku kwa mrija kama kiambishi cha ukwasi na mambo kuwa super.
Ni kawaida watu kuambiana ama kupiga umbea kwamba fulani sasa anakula kuku kwa mrija
Kuku si kimiminika... Kuku ni yabisi.. Mrija hutumika kunyonya ama kuupitisha vimimimika.. Mrija hauliwi ni nyenzo.. Kimimika hakitafunwi kinamezwa.. Sasa iweje mambo yakiwa safi tuambiwe tunakula kwa mrija? Walau basi wangesema tunafyonza kuku kwa mrija . Tena ni haya makuku mazezeta, nyama imelegea kama mlenda... Haya ni maruhani ya lugha

Mnyama bata.. Kufanya starehe na kiambishi cha kula bata! Mfanano uko wapi hapa sasa?
Pamoja na kwamba muimba taarab maarufu Marehemu Mzee Issa Matona aliwahi kuimba NYAMA ya bata ni tamu.. Naamini kwa dhati ya moyo alimaanisha kitu kingine kabisa. Kumbuka huyu ni Mzee wa Pwani ni mzaliwa wa mwambao..
Sasa inakuwaje kufanya starehe kitu ambacho ni cha furaha ama kupata nafuu fulani kulinganishwe na kula bata?kwani kufanya starehe ni uchafu?
Maana bata mwenyewe ni mmojawapo kati ya wanyama wachafu sana ndio maana Mondi kwenye moja ya tungo zake aliwahi kuimba.. Katoto (ka kike😀) kachafu kama bata...
Ukitaka kumfurahisha bata ajione yuko peponi muweke kwenye tope.. Utashuhudia anavyotikisa nyashi lake kwa furaha
Kula bata? Mpaka nyama ya bata ilete ladha inahitaji ufundi mkubwa sana.. Mapishi ya kuku si ya bata! Ukikosea kidogo tu nyama yake haliliki.. Kuna maji fulani machafu yaliyoko kwenye uti wake wa mgongo, utilises tu yakajichanganya na nyama hiyo mboga kaitupe tu maana haitalika

Mfanano uliopo ni mmoja tuu kwamba anayekula kuku kwa mrija mara nyingi ndiye anayekula bata.. Japo kinyume chake ni kwamba si kila anayekula bata basi anakula kuku kwa mrija!

Maruhani ya lugha haya

Good morning Tanganyika
IMG-20170803-WA0076 (1).jpg
 
Kama unadhani maruhani yapo kwa viumbe hai utakuwa umekosea sana.. Maruhani yapo pia kwenye vitu visivyo na uhai na lugha pia
Hebu waza kwa makini usahihi wa sentensi kama hizi
1. Maji yameenda kuchotwa
2. Nimemkuta hayupo
Na watu daily wanazitumia bila shaka kabisa...

Sasa kuna hili la wanyama wanaotumika kama kiambishi cha ukwasi na starehe.. Nine's usiku mzima mfanano wake walau kwa mbali tu nimekosa kabisa
Nimechunguza kwa makini mno ni kwa namba yani vinashabihiana pia nimeshindwa kabisa

Mnyama kuku.. Kula kuku kwa mrija kama kiambishi cha ukwasi na mambo kuwa super.
Ni kawaida watu kuambiana ama kupiga umbea kwamba fulani sasa anakula kuku kwa mrija
Kuku si kimiminika... Kuku ni yabisi.. Mrija hutumika kunyonya ama kuupitisha vimimimika.. Mrija hauliwi ni nyenzo.. Kimimika hakitafunwi kinamezwa.. Sasa iweje mambo yakiwa safi tuambiwe tunakula kwa mrija? Walau basi wangesema tunafyonza kuku kwa mrija . Tena ni haya makuku mazezeta, nyama imelegea kama mlenda... Haya ni maruhani ya lugha

Mnyama bata.. Kufanya starehe na kiambishi cha kula bata! Mfanano uko wapi hapa sasa?
Pamoja na kwamba muimba taarab maarufu Marehemu Mzee Issa Matona aliwahi kuimba NYAMA ya bata ni tamu.. Naamini kwa dhati ya moyo alimaanisha kitu kingine kabisa. Kumbuka huyu ni Mzee wa Pwani ni mzaliwa wa mwambao..
Sasa inakuwaje kufanya starehe kitu ambacho ni cha furaha ama kupata nafuu fulani kulinganishwe na kula bata?kwani kufanya starehe ni uchafu?
Maana bata mwenyewe ni mmojawapo kati ya wanyama wachafu sana ndio maana Mondi kwenye moja ya tungo zake aliwahi kuimba.. Katoto (ka kike😀) kachafu kama bata...
Ukitaka kumfurahisha bata ajione yuko peponi muweke kwenye tope.. Utashuhudia anavyotikisa nyashi lake kwa furaha
Kula bata? Mpaka nyama ya bata ilete ladha inahitaji ufundi mkubwa sana.. Mapishi ya kuku si ya bata! Ukikosea kidogo tu nyama yake haliliki.. Kuna maji fulani machafu yaliyoko kwenye uti wake wa mgongo, utilises tu yakajichanganya na nyama hiyo mboga kaitupe tu maana haitalika

Mfanano uliopo ni mmoja tuu kwamba anayekula kuku kwa mrija mara nyingi ndiye anayekula bata.. Japo kinyume chake ni kwamba si kila anayekula bata basi anakula kuku kwa mrija!

Maruhani ya lugha haya

Good morning TanganyikaView attachment 3081768
Ulipotea na nduguyo Bujibuji, Leo nadhani naye tutamwona
 
Kama unadhani maruhani yapo kwa viumbe hai utakuwa umekosea sana.. Maruhani yapo pia kwenye vitu visivyo na uhai na lugha pia
Hebu waza kwa makini usahihi wa sentensi kama hizi
1. Maji yameenda kuchotwa
2. Nimemkuta hayupo
Na watu daily wanazitumia bila shaka kabisa...

Sasa kuna hili la wanyama wanaotumika kama kiambishi cha ukwasi na starehe.. Nine's usiku mzima mfanano wake walau kwa mbali tu nimekosa kabisa
Nimechunguza kwa makini mno ni kwa namba yani vinashabihiana pia nimeshindwa kabisa

Mnyama kuku.. Kula kuku kwa mrija kama kiambishi cha ukwasi na mambo kuwa super.
Ni kawaida watu kuambiana ama kupiga umbea kwamba fulani sasa anakula kuku kwa mrija
Kuku si kimiminika... Kuku ni yabisi.. Mrija hutumika kunyonya ama kuupitisha vimimimika.. Mrija hauliwi ni nyenzo.. Kimimika hakitafunwi kinamezwa.. Sasa iweje mambo yakiwa safi tuambiwe tunakula kwa mrija? Walau basi wangesema tunafyonza kuku kwa mrija . Tena ni haya makuku mazezeta, nyama imelegea kama mlenda... Haya ni maruhani ya lugha

Mnyama bata.. Kufanya starehe na kiambishi cha kula bata! Mfanano uko wapi hapa sasa?
Pamoja na kwamba muimba taarab maarufu Marehemu Mzee Issa Matona aliwahi kuimba NYAMA ya bata ni tamu.. Naamini kwa dhati ya moyo alimaanisha kitu kingine kabisa. Kumbuka huyu ni Mzee wa Pwani ni mzaliwa wa mwambao..
Sasa inakuwaje kufanya starehe kitu ambacho ni cha furaha ama kupata nafuu fulani kulinganishwe na kula bata?kwani kufanya starehe ni uchafu?
Maana bata mwenyewe ni mmojawapo kati ya wanyama wachafu sana ndio maana Mondi kwenye moja ya tungo zake aliwahi kuimba.. Katoto (ka kike😀) kachafu kama bata...
Ukitaka kumfurahisha bata ajione yuko peponi muweke kwenye tope.. Utashuhudia anavyotikisa nyashi lake kwa furaha
Kula bata? Mpaka nyama ya bata ilete ladha inahitaji ufundi mkubwa sana.. Mapishi ya kuku si ya bata! Ukikosea kidogo tu nyama yake haliliki.. Kuna maji fulani machafu yaliyoko kwenye uti wake wa mgongo, utilises tu yakajichanganya na nyama hiyo mboga kaitupe tu maana haitalika

Mfanano uliopo ni mmoja tuu kwamba anayekula kuku kwa mrija mara nyingi ndiye anayekula bata.. Japo kinyume chake ni kwamba si kila anayekula bata basi anakula kuku kwa mrija!

Maruhani ya lugha haya

Good morning TanganyikaView attachment 3081768
Nilichoma takataka mbalimbali nakasikia sauti ya uchungu kama majini yana ungua, sauti ya chiwii, nilitambua mlio wake siku nilipoenda kwa isangoma
 
Kama unadhani maruhani yapo kwa viumbe hai utakuwa umekosea sana.. Maruhani yapo pia kwenye vitu visivyo na uhai na lugha pia
Hebu waza kwa makini usahihi wa sentensi kama hizi
1. Maji yameenda kuchotwa
2. Nimemkuta hayupo
Na watu daily wanazitumia bila shaka kabisa...

Sasa kuna hili la wanyama wanaotumika kama kiambishi cha ukwasi na starehe.. Nine's usiku mzima mfanano wake walau kwa mbali tu nimekosa kabisa
Nimechunguza kwa makini mno ni kwa namba yani vinashabihiana pia nimeshindwa kabisa

Mnyama kuku.. Kula kuku kwa mrija kama kiambishi cha ukwasi na mambo kuwa super.
Ni kawaida watu kuambiana ama kupiga umbea kwamba fulani sasa anakula kuku kwa mrija
Kuku si kimiminika... Kuku ni yabisi.. Mrija hutumika kunyonya ama kuupitisha vimimimika.. Mrija hauliwi ni nyenzo.. Kimimika hakitafunwi kinamezwa.. Sasa iweje mambo yakiwa safi tuambiwe tunakula kwa mrija? Walau basi wangesema tunafyonza kuku kwa mrija . Tena ni haya makuku mazezeta, nyama imelegea kama mlenda... Haya ni maruhani ya lugha

Mnyama bata.. Kufanya starehe na kiambishi cha kula bata! Mfanano uko wapi hapa sasa?
Pamoja na kwamba muimba taarab maarufu Marehemu Mzee Issa Matona aliwahi kuimba NYAMA ya bata ni tamu.. Naamini kwa dhati ya moyo alimaanisha kitu kingine kabisa. Kumbuka huyu ni Mzee wa Pwani ni mzaliwa wa mwambao..
Sasa inakuwaje kufanya starehe kitu ambacho ni cha furaha ama kupata nafuu fulani kulinganishwe na kula bata?kwani kufanya starehe ni uchafu?
Maana bata mwenyewe ni mmojawapo kati ya wanyama wachafu sana ndio maana Mondi kwenye moja ya tungo zake aliwahi kuimba.. Katoto (ka kike😀) kachafu kama bata...
Ukitaka kumfurahisha bata ajione yuko peponi muweke kwenye tope.. Utashuhudia anavyotikisa nyashi lake kwa furaha
Kula bata? Mpaka nyama ya bata ilete ladha inahitaji ufundi mkubwa sana.. Mapishi ya kuku si ya bata! Ukikosea kidogo tu nyama yake haliliki.. Kuna maji fulani machafu yaliyoko kwenye uti wake wa mgongo, utilises tu yakajichanganya na nyama hiyo mboga kaitupe tu maana haitalika

Mfanano uliopo ni mmoja tuu kwamba anayekula kuku kwa mrija mara nyingi ndiye anayekula bata.. Japo kinyume chake ni kwamba si kila anayekula bata basi anakula kuku kwa mrija!

Maruhani ya lugha haya

Good morning TanganyikaView attachment 3081768
Mbona Kama vile huyu mtu anakula supu ya vyura
 
Nadhani kuku kwa mrija huu MSEMO miaka 90 mwishoni au 2000 mwanzoni ndo uliingia
Huu ulikuwa na maana kwamba sasa mambo yamemyookea kutokana na kuwa na pesa nyingi ana uwezo hata wa kula kuku kwa mrija ukiwa na maana kuwa mtu akiwa na pesa ashindwi chochote
Hvyo msemo anakula kuku kwa mrija au nakula kuku kwa mrija inamaana baada kuhuslte sana sasa pesa zimemtembele anaenjoy ni bata kwa kwenda mbele

Kula bata ni MSEMO wa WATOTO wa KINONDONI na POSTA kule mtaa ulikuwa na SHUGHURI nyingi za kughushi wakishapiga deal basi ni kula bata tu mitaa ya kinondoni
uliingia enzi ya kuku kuwa kitoweo GHARI
sasa Bei ya BATA ilikuwa zaidi ya mara 2 mpk tatu ya kuku
So mtaani huo MSEMO ulikuwa Unamaana mwenye kula bata ana ukwasi sema wa muda mchache mkipiga DEAL mkatusua manenda kula bata(kufanya starehe fully pombe totoz na mikasi) then kesho hauna kitu unaenda kutafuta Tena ukipata bata kama kawa
Tofauti na wanaokula kuku kwa mrija wao bata batani Kila siku
 
Nadhani kuku kwa mrija huu MSEMO miaka 90 mwishoni au 2000 mwanzoni ndo uliingia
Huu ulikuwa na maana kwamba sasa mambo yamemyookea kutokana na kuwa na pesa nyingi ana uwezo hata wa kula kuku kwa mrija ukiwa na maana kuwa mtu akiwa na pesa ashindwi chochote
Hvyo msemo anakula kuku kwa mrija au nakula kuku kwa mrija inamaana baada kuhuslte sana sasa pesa zimemtembele anaenjoy ni bata kwa kwenda mbele

Kula bata ni MSEMO wa WATOTO wa KINONDONI na POSTA kule mtaa ulikuwa na SHUGHURI nyingi za kughushi wakishapiga deal basi ni kula bata tu mitaa ya kinondoni
uliingia enzi ya kuku kuwa kitoweo GHARI
sasa Bei ya BATA ilikuwa zaidi ya mara 2 mpk tatu ya kuku
So mtaani huo MSEMO ulikuwa Unamaana mwenye kula bata ana ukwasi sema wa muda mchache mkipiga DEAL mkatusua manenda kula bata(kufanya starehe fully pombe totoz na mikasi) then kesho hauna kitu unaenda kutafuta Tena ukipata bata kama kawa
Tofauti na wanaokula kuku kwa mrija wao bata batani Kila siku
Siyo kweli huo msemo uko siku nyingi mimi niliusikia 1972, tena hata pombe za kienyeji walikuwa wanatumia milija mfano wanyakyusa walikuwa/ wanaziita ifwefwe
 
Back
Top Bottom