Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Huwa napenda sana kujua mahusiano ya kimapenzi kwa wanyama, nilichojifunza ni kuwa wanyama wengi wanapotaka kufanya mapenzi lazima dume amtoe mkuku jike na kumdhibiti ndipo anapopewa mchezo,mfano jogoo, beberu,paka n.k.
Lakini kwa upande wa njiwa dume ni tofauti, anachofanya ni kuomba na kubembeleza sana mpaka sometime anajigaraza hapo ndipo njiwa jike hupatwa na huruma na hulala chini huku akijibenua, na njiwa dume bila kufanya ajizi anapokea zawadi anayopewa. Kuhusu njiwa pia huwa habadilishi mpenzi kama wanyama wengine...sasa wana jf nanyi kama kuna wanyama mnaowajua tabia zao mnaweza kufafanua kidogo...
Lakini kwa upande wa njiwa dume ni tofauti, anachofanya ni kuomba na kubembeleza sana mpaka sometime anajigaraza hapo ndipo njiwa jike hupatwa na huruma na hulala chini huku akijibenua, na njiwa dume bila kufanya ajizi anapokea zawadi anayopewa. Kuhusu njiwa pia huwa habadilishi mpenzi kama wanyama wengine...sasa wana jf nanyi kama kuna wanyama mnaowajua tabia zao mnaweza kufafanua kidogo...