Ni wakat sasa wa sis angalau 2lopitia vishule iv vya kata, tukachomoka kwa kuiba material ya vitoto vya hawa MAJKey wakat wa holidei, tujitoe japo kwa shda kuwapatia tuition ya uraia japo kwa kujiiba coz hal ya nchi inanuka kwa uozo wa umaskin! CCM si kwamba inatushnda, dawa ni kuendeleza campen za chnchn. Em fkiria kwa nin wanagoma kutoa matokeo ya wananch waloyafanyia kazi. Si Tbr tu, em piga picha mikoa ye2 hi ya Kati hususan Singda, em ichek ilvokaa lakn utashndwa kuamin kama kwel hawataki kuish maisha mazuri au ni ushamba, utashndwa kuelewa km walikuwa hawamuelew DK SLAA au kiswahl knapita pemben, sielew. Mikoa ye2 hi wakat mwngne inabd jitihada za ziada kuwaelimisha hawa wazee wetu ikibd hata kwa fimbo coz hawa ndo wanatuweka pabaya, mpaka apa tulipo its coz of them! Naudhka sna napomwona kjana anaishabkia CCM, kwel ni aibu kwa mtu km huyo. Af cha ajab ni pale unapomwona mtu hana uwezo wowote ni wa kugongea jiti lakn utamkuta ndo wa kwnza kuishabkia iyo trakoma, mtu na pesa zake, heshma na elimu yake akjarb kumshaur mtu huyo wa chn kua aikimbie iyo acid atak! Chunguzen mikoa ya wenzetu wa Kaskazn ambavyo wameitupa chn iyo chama na kukubal ukomboz jns walvo juu kiuchumi. Lakn sis ambao hatuna mbele wala nyuma ndo tunaishabkia, jamen tushtukee WANATUCHEKA! Huu ni uboya tunaoufanya, IKIMBIEN CCM KAMA ZINAA! La svo tutaisha wote wakat tumesmama. SHAUR YENU na MTAJIJUU km hamtataka kuwa nami mi naishia zangu coz siwawezi! SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA.