Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi siku hiyo wataniua tuKwamba maeneo ya chango'mbe dar es salaam wale wanaume wa dar wnaoendana na fashooon za kina lil uzi,21 savage,wiz khalifa za kuvaa visurual vya kubana yaani vimodo na kunyoa viduku wamepokea vichapo kutoka kwa walinzi wa amani na kunyolewa viduku hivyo
Pia inasemekana huko Arusha hata wadada waliovaa jeans wanakamatwa
Okie dokie,naliomba jeshimahiri kabisa la polisi Afrika nzima yaani Police tanzania waanze msako wa guest houses wakikuta watu wanafanya ule mchezo wa kimama na baba wawaambie waonyeshe vyeti vya ndoa hii itasaidia sana kulinda maadili mema ya jamaii tya Mtanzania,jamii yenye upendo ,amani,inayoishi vizuri bila kubaguana chini ya Rais mpendwa mwenye moyo wa upendo kwa wananchi wake bila kujali itikadi za vyama vyao
Huna akili wewe!Kizazi cha hovyo kabisa hiki, hadi kinakumbushwa kwa bakora ...ni hatari sana. Ngoja wafunzwe na dunia, na mie natamani nikute maeneo kichapo hicho ili nikoleze ...waturuhusu tuwatie dole pia
Unadhibiti mmomonyoko wa maadili??? Kabisa?? ...hahahaa...Swala la maadili lazima liwekewe mkazo ili kudhibiti huu mmomonyoko wa maadili kwenye jamii zetu.
Msiwasahau na wanaume wavaa hereni.
Kabisa maana heleni sasa hivi Sio za wanawake tenaSwala la maadili lazima liwekewe mkazo ili kudhibiti huu mmomonyoko wa maadili kwenye jamii zetu.
Msiwasahau na wanaume wavaa hereni.
Naona mvaa hereni umekuja. Haya tafuta na bwana uolewe!Unadhibiti mmomonyoko wa maadili??? Kabisa?? ...hahahaa...
Wewe ni mpumbaVvvu.
Kunyoa kiduku kuvaa heleni kuvaa kata k kuvaa kajins Ka kubana watakupigatu nasema wakupigetunchi haina vazi la taifa ila imekazana kuonea watu kuvaa watakavyo, kunyoa kiduku inazuia nini uchumi kupanda
walio litia taifa umaskini wa ajabu ni wale wavaa suti na tai.
Baba ako mbona anavaa hereni na nimeshamuoa mimi??Naona mvaa hereni umekuja. Haya tafuta na bwana uolewe!
Chakula gani hiyo mkuu?Mbaya zaidi hata chakula yetu mnatuingilia,,,
Kiduku hakijaanza kunƴolewa leo hata ɓaɓa zetu walinƴoa stlƴ nƴingi kama manjua na afro hivƴo basi vijana wamerudia ƴale ya zamani ƙwenƴe mitinɗo ƴa kunƴoa.Naomɓa wasioneweWakwendee hukoo wanaingilia watu mpaka mavazi yao na unyoaji wao
mambo yetu hadi tuonyeshe cheti cha ndoa?Chakula gani hiyo mkuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Modo nitaacha ila gest sitaacha.... Maana sijalipiwa na mtu
Naona mvaa hereni umekuja. Haya tafuta na bwana uolewe!
Hii nchi bado ina mapori mengi sana saa hizi hata wanaofanyia mapenzi gest ni wachache labda Kwa wale wanao kuwa safarini mapenzi hayakanywi kijana ukiyazima ndyo yanapea kama moto we petrolKwamba maeneo ya chango'mbe dar es salaam wale wanaume wa dar wnaoendana na fashooon za kina lil uzi,21 savage,wiz khalifa za kuvaa visurual vya kubana yaani vimodo na kunyoa viduku wamepokea vichapo kutoka kwa walinzi wa amani na kunyolewa viduku hivyo
Pia inasemekana huko Arusha hata wadada waliovaa jeans wanakamatwa
Okie dokie,naliomba jeshimahiri kabisa la polisi Afrika nzima yaani Police tanzania waanze msako wa guest houses wakikuta watu wanafanya ule mchezo wa kimama na baba wawaambie waonyeshe vyeti vya ndoa hii itasaidia sana kulinda maadili mema ya jamaii tya Mtanzania,jamii yenye upendo ,amani,inayoishi vizuri bila kubaguana chini ya Rais mpendwa mwenye moyo wa upendo kwa wananchi wake bila kujali itikadi za vyama vyao