Tetesi: wanyoa viduku,wavaa jeans wala vichapo

Mi siku hiyo wataniua tu
How come michongo kama hiyo bana
 
Kizazi cha hovyo kabisa hiki, hadi kinakumbushwa kwa bakora ...ni hatari sana. Ngoja wafunzwe na dunia, na mie natamani nikute maeneo kichapo hicho ili nikoleze ...waturuhusu tuwatie dole pia
Huna akili wewe!
 
Swala la maadili lazima liwekewe mkazo ili kudhibiti huu mmomonyoko wa maadili kwenye jamii zetu.
Msiwasahau na wanaume wavaa hereni.
Unadhibiti mmomonyoko wa maadili??? Kabisa?? ...hahahaa...

Wewe ni mpumbaVvvu.
 
nchi haina vazi la taifa ila imekazana kuonea watu kuvaa watakavyo, kunyoa kiduku inazuia nini uchumi kupanda

walio litia taifa umaskini wa ajabu ni wale wavaa suti na tai.
Kunyoa kiduku kuvaa heleni kuvaa kata k kuvaa kajins Ka kubana watakupigatu nasema wakupigetu
 
Mkiitwa SHITHOLES ndio jina linalowafaa.

It's true you don't have brains, hamna kabisa akili nyie.

Kajamaa kakishashika kamtutu na kuvaa mabuti makubwa basi ndio kameshakuwa kasultaniiii????

Sijui kwanini tulizaliwa na ngozi nyeusi katikati ya mazuzu namna hii????
 
Mim ningependa msanii Joti aitwe kama Gigy akatueleze kama kuigiza mdada ndio kuchekesha.

Hawa matozi naona kama tunawaonea tu!.

Ila hold On!!, hii operesheni ianzie timu ya taifa kule si kuna viduku vya kimataifa embu vinyolewe para chapu!
 
Wakwendee hukoo wanaingilia watu mpaka mavazi yao na unyoaji wao
Kiduku hakijaanza kunƴolewa leo hata ɓaɓa zetu walinƴoa stlƴ nƴingi kama manjua na afro hivƴo basi vijana wamerudia ƴale ya zamani ƙwenƴe mitinɗo ƴa kunƴoa.Naomɓa wasionewe
 
Hii nchi bado ina mapori mengi sana saa hizi hata wanaofanyia mapenzi gest ni wachache labda Kwa wale wanao kuwa safarini mapenzi hayakanywi kijana ukiyazima ndyo yanapea kama moto we petrol
 
Maadili hayaanzii mtaani huanzia nyumbani .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…