Tetesi: wanyoa viduku,wavaa jeans wala vichapo

Hivi vikundi vya "ulinzi", " amani", "sungusungu" etc, viangaliwe vyema. Mbeleni vikimaliza kuchapa bakora vitaanza kazi zingine
 
Hahahaha umenichekesha sana uwiii
 
Mnaacha mashoga mnacharaza viboko wanaovaa suruali za kubana na wanaonyoa viduku hii sio ya kufurahia hata kidogo. Kunyoa kiduku sio ushoga wala kuvaa suruali ya kubana sio ushoga nani ametoa hilo wazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…