Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

alaf anataka kuishi marefu wakati ugali wa kesho hajui atupataje
Hakuna faraja yoyote katika ULEVI ...huo ndio ukweli...hakuna justification yoyote unaweza kunipa maisha yako yote ku justify ULEVI, nature inaseema tunazaliwa tunaishi then tunakufa, Sasa kwamba ujue Kuna kufa ili upate justification ya kujiharibu afya yako uwe umekondeana kama njiti ya kibiriti,, hio haingii akilini, halafu yule aliekutengenezea wewe pombe unywe anaendelea kula vizuri anapata pesa anakua tajiri, hata kama atakufa kwa sababu zingine ila alichokua anakifanya kitaiacha familia salama hawatapata shida kama wewe kapuku unayekunywa Hadi unajinyea ukijua kua Kuna kufa unakufa unaiacha familia mzigo mzito, mzigo wa madeni, magonjwa ya zinaa mana ukiwa mlevi unatomba ovyo, mzigo wa watoto wa nje, tabu tupu...acha ULEVI.
 
Wewe usiekunywa una maghorofa mangapi hapa mjini tajiri[emoji4]
Hakuna faraja yoyote katika ULEVI ...huo ndio ukweli...hakuna justification yoyote unaweza kunipa maisha yako yote ku justify ULEVI, nature inaseema tunazaliwa tunaishi then tunakufa, Sasa kwamba ujue Kuna kufa ili upate justification ya kujiharibu afya yako uwe umekondeana kama njiti ya kibiriti,, hio haingii akilini, halafu yule aliekutengenezea wewe pombe unywe anaendelea kula vizuri anapata pesa anakua tajiri, hata kama atakufa kwa sababu zingine ila alichokua anakifanya kitaiacha familia salama hawatapata shida kama wewe kapuku unayekunywa Hadi unajinyea ukijua kua Kuna kufa unakufa unaiacha familia mzigo mzito, mzigo wa madeni, magonjwa ya zinaa mana ukiwa mlevi unatomba ovyo, mzigo wa watoto wa nje, tabu tupu...acha ULEVI.
 
Mwisho wa siku unywe pombe usinywe pombe kudanja kupo pale pale
Hakuna justification yoyote ya ulevi wa kipumbavu. Unajua mawazo ya kimaskin always wanawaza kufa tu , kwamba mtu hawezi ku embrace life itself Aishi katika namna ambayo nature inataka uishi vizuri ukiwa na afya imara ,,na hata siku unakufa kwa sababu mbalimbali ambazo sio za kipumbavu za kujimaliza kiafya sababu unajua Kuna kufa, basi unatabasamu tu unajua kua nature imefanya kazi yake
 
Tajiri kisukari anakitoa wapi?
Tajiri presha anaitoa wapi?

Hawa matajiri kwa nini wanaishia kumtangulia au kuongozana na mnywaji? Umeshawahi kujiuliza ukifa na maini safi Figo safi ndio umeshinda ?? Nauliza ndio ushindi?
Hakuna justification yoyote ya ulevi wa kipumbavu. Unajua mawazo ya kimaskin always wanawaza kufa tu , kwamba mtu hawezi ku embrace life itself Aishi katika namna ambayo nature inataka uishi vizuri ukiwa na afya imara ,,na hata siku unakufa kwa sababu mbalimbali ambazo sio za kipumbavu za kujimaliza kiafya sababu unajua Kuna kufa, basi unatabasamu tu unajua kua nature imefanya kazi yake...umeshawahi kujiuliza kua kwa wenzetu kwanini wengi wao wanaokufa na maini safi Figo safi na wanatoa will wakifa kama Kuna kiungo chake kitakua salama basi kitolewe awekeewe mwingine mwenye uhitaji...je huo sio ushindi, je hio sio akili ..ila sisi waafrika maskin asilimia kubwa akili za kimaskin unasema nife na ini Lina afya ama Figo Ina afya kwanini ngoja nijimalize na kvant ama konyagi unakufa kifo Cha kipumbavu Cha kujitakia... Africans we have to change our mindsets. Itachhkua muda sana sababu ya umaskin na ignorance ila tutafika
 
Hakuna justification yoyote ya ulevi wa kipumbavu. Unajua mawazo ya kimaskin always wanawaza kufa tu , kwamba mtu hawezi ku embrace life itself Aishi katika namna ambayo nature inataka uishi vizuri ukiwa na afya imara ,,na hata siku unakufa kwa sababu mbalimbali ambazo sio za kipumbavu za kujimaliza kiafya sababu unajua Kuna kufa, basi unatabasamu tu unajua kua nature imefanya kazi yake
Hakuna lolote. Unachanganyaje nature na kuwazia hela. Bas iachie nature ikuletee...basi tajiri angeish milele
 
Kwa hiyo wewe ukifa na main Yako yakiwa salama utaenda kulingishia mbinguni, ungejua watu wamekufa Kwa magonjw ya figo wakati haiwaijui pombe
 
Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
Kitu gani unatumia ambacho hakina sumu?
 
Back
Top Bottom