M mackney Member Joined Oct 20, 2018 Posts 89 Reaction score 79 Dec 31, 2018 #1 Hapa nilipo napiga ulanzi kukaribisha mwaka mpya, mana nimekulia kijijin mm sio wa bia. Napenda ulanzi kwa sababu ni mtamu pia ni cheap halafu ni original yangu. Watu wananiona wa hali ya juu ila mm najiona kawaida hata kama nalipwa more than 1m. Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nilipo napiga ulanzi kukaribisha mwaka mpya, mana nimekulia kijijin mm sio wa bia. Napenda ulanzi kwa sababu ni mtamu pia ni cheap halafu ni original yangu. Watu wananiona wa hali ya juu ila mm najiona kawaida hata kama nalipwa more than 1m. Sent using Jamii Forums mobile app
mng'ato JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 29,200 Reaction score 49,076 Dec 31, 2018 #2 Wahaya watakujibu iweeeee 1mil ni helaa ya kununulia whisky pale kwa mama Kokuuuuu
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 22,527 Reaction score 79,976 Dec 31, 2018 #3 Huo mstari wa mwisho hukua na haja ya kuuandika Ungekaribisha tu ulanzi wako huku ukiendelea kuunywa in peace
Huo mstari wa mwisho hukua na haja ya kuuandika Ungekaribisha tu ulanzi wako huku ukiendelea kuunywa in peace
lwamu JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 927 Reaction score 1,075 Dec 31, 2018 #4 Exactly joanah said: Huo mstari wa mwisho hukua na haja ya kuuandika Ungekaribisha tu ulanzi wako huku ukiendelea kuunywa in peace Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly joanah said: Huo mstari wa mwisho hukua na haja ya kuuandika Ungekaribisha tu ulanzi wako huku ukiendelea kuunywa in peace Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app