Hapa nilipo napiga ulanzi kukaribisha mwaka mpya, mana nimekulia kijijin mm sio wa bia. Napenda ulanzi kwa sababu ni mtamu pia ni cheap halafu ni original yangu.
Watu wananiona wa hali ya juu ila mm najiona kawaida hata kama nalipwa more than 1m.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wananiona wa hali ya juu ila mm najiona kawaida hata kama nalipwa more than 1m.
Sent using Jamii Forums mobile app