Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Zanzibar is a tourist destination, however the level of noise is intolerable.
Nimelala hapo Maisara kesho yake nikafungisha virago. Makelele ya miziki toka hizo kumbi za CheCheMe Maisara, Kilimani, Gofu na Gynkana Club ni shida, tena washindana. Pili milio ya bodaboda usiku kucha ni kero hasaaa. Mtaua utalii. Njooni ng'ambo huku tuwatie skuli.
Nimelala hapo Maisara kesho yake nikafungisha virago. Makelele ya miziki toka hizo kumbi za CheCheMe Maisara, Kilimani, Gofu na Gynkana Club ni shida, tena washindana. Pili milio ya bodaboda usiku kucha ni kero hasaaa. Mtaua utalii. Njooni ng'ambo huku tuwatie skuli.