Wala haiumi acha woga,
Au kama vipi siku ukienda kuchanja lewa chakari uwe hujuitambui.
ππ
Kwenye issue sensitive kama hii hamna budi zaidi ya kujikaza tu upate tibaNi afadhali maumivu ya sindano ambayo ni ya muda wa chini ya dakika moja tu kuliko mateso ya Corona virus.
Hayo ni maneno ya mtaani tu ila hakuna evidence yeyote till now,soma page za WHO ujiridhishe.Wanakataza pombe.
Ishu ni pale mwanzo unapomuona daktari anakuja na kale ka chupa, anatikisa tikisa, anakufuta na pamba...! Yaani hicho kitendo utaona kama ni saa nzima imepita [emoji3] mpaka hapo unakua umeshasali sala zote ndani ya hizo sekunde chache..
3) Ina maana wanasayansi na teknolijia yote ya kwenda mpaka sayari ya Mars kweli wameshindwa kuweka hii chanjo kwenye kidonge kweli? ππ1) Tuondoe haja ya kujaza consent form. Hii inaweza kuwa "inatisha watu". Mbona watu wanadungwa chanjo nyingine (yellow fever, chanjo ya homa ya ini etc bila kujaza form yoyote na hakuna anayelalamika?
2) Wizara ifanye promotional campaigns na kusambaza vipeperushi vyenye ufafanuzi wa baadhi ya maswali/myths kuhusu hii chanjo.
[emoji23][emoji23] huyo ni mimi
Kila kazi ina swaga zake. Kikubwa siku ukienda kuchoma hiyo kitu ni kuzipotezea hizo swaga zao. We wasusie bega, fumba macho au tazama upande mwingine!Nashauri madaktari nao waache mbwembwe bana. Ilitakiwa mtu ukifika pale yani kabla hujakaa unachapwa kitu chwaaaaaa...!!
Ukija kushtuka tayari watu wanaita neext! Sasa mpaka waanze kukuongelesha ongelesha, mara kushikashika ile sindano, mara sijui nini yaani mi utanikuta tu sipo ππ
Usijali nipo maabara, natengeneza chanjo ya matone !!Niseme tu mimi binafsi sina tatizo lolote na chanjo. Yaani kama ingekua sio huu uoga uliopitiliza wa sindano, mimi ningekua kati ya watu wa mwanzo kabisa kuchanjwa! Lakini mpaka leo bado nambwelambwela kwenda kuchanjwa kisa tu naogopa ile sindano. Kama mliona ile video ya mwanajeshi aliepelekwa kuchanjwa na kundi la wenzake kama 9 wamemshikilia na bado akawaponyoka na kukimbia, basi huyo ni mimi kabisaa..!![emoji1787]
Sasa naomba kuuliza kwa wale ambao mmeshachanjwa hebu tupeni uzoefu hapa, je inauma? Au ni chwaaa... Imeisha iyo! Hapa nilipo sijawahi kuchoma chanjo yoyote pamoja na kuletewa chanjo izo bure kabisa kisa ni uoga. Najua tupo wengi kwenye hili kundi japo mwenzetu mmoja ambae ni mkuu wa wilaya yeye tayari. Hebu tupeane akili hapa jinsi ya kuovercome huu uoga au mbinu gani tutumie?
Mwisho naiomba serikali iangalie uwezekano wa kutuletea chanjo za vidonge ione jinsi watu watakavyofurika kuchanja. Zikipatikana za kupaka pia itasaidia sana. Ieleweke uoga wa sindano ni "phobia" kama ilivyo uoga wa nyoka, tandu, vinyonga, nge, heights nk.
Halijapita mkuu..yajayo ni mabaya zaidi!Namshukuru Mungu hili janga nalo limepita bila kuchanja.. π
Ishu ni pale mwanzo unapomuona daktari anakuja na kale ka chupa, anatikisa tikisa, anakufuta na pamba...! Yaani hicho kitendo utaona kama ni saa nzima imepita π mpaka hapo unakua umeshasali sala zote ndani ya hizo sekunde chache..