Waombolezaji Tanga wametupatia mwongozo. TUWAZOMEE kila kona

Waombolezaji Tanga wametupatia mwongozo. TUWAZOMEE kila kona

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
20240908_202423.jpg
Jana tarehe 09 Septemba 2024 tumeshuhudia mazishi ya marehemu Ally Kibao aliyetekwa na wanaosadikika ni polisi na hatimaye kuokotwa kesho yake ameuawa.

Kilichojiri msibani ni pale waombolezaji walipomzomea Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye dhamana ya Jeshi la Polisi Injinia Masauni. Ikumbukwe Injinia Masauni alipokuwa anajibu malalamiko ya wananchi kuhusu wimbi la polisi kuhusika na utekaji nyara na hata kuuawa kwa watu wakiwa mikononi mwa dola, alisema watu wanajiteka wenyewe na wanaendeza drama za utekaji nyara.

Hakustahuli kuwepo katika msiba kwa sababu inawezekana kabisa LABDA marehemu alijiteka nyara. Huyu waziri alistahili kuzomewa kwa sababu kwa nafasi yake alishatoa mwongozo unaolinda askari waendelee kuwadhuru watu.

Shime Watanzania. Tuchukue hatua sasa ya kuwazomea viongozi wote ambao kwa dhamana walizonazo wameshindwa kutuhakikishia usalama na uhai wetu.

Tuwapongeze sana waombolezaji wa mkoani Tanga kwa kuonesha nini tunapaswa kufanya

Hakuna aliye salama
 
Masauni kuwa waziri wa mambo ya ndani is the joke of the century
 
View attachment 3092198
Jana tarehe 09 Septemba 2024 tumeshuhudia mazishi ya marehemu Ally Kibao aliyetekwa na wanaosadikika ni polisi na hatimaye kuokotwa kesho yake ameuawa.

Kilichojiri msibani ni pale waombolezaji walipomzomea Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye dhamana ya Jeshi la Polisi Injinia Masauni. Ikumbukwe Injinia Masauni alipokuwa anajibu malalamiko ya wananchi kuhusu wimbi la polisi kuhusika na utekaji nyara na hata kuuawa kwa watu wakiwa mikononi mwa dola, alisema watu wanajiteka wenyewe na wanaendeza drama za utekaji nyara.

Hakustahuli kuwepo katika msiba kwa sababu inawezekana kabisa LABDA marehemu alijiteka nyara. Huyu waziri alistahili kuzomewa kwa sababu kwa nafasi yake alishatoa mwongozo unaolinda askari waendelee kuwadhuru watu.

Shime Watanzania. Tuchukue hatua sasa ya kuwazomea viongozi wote ambao kwa dhamana walizonazo wameshindwa kutuhakikishia usalama na uhai wetu.

Tuwapongeze sana waombolezaji wa mkoani Tanga kwa kuonesha nini tunapaswa kufanya

Hakuna aliye salama
Nilitegemea mandamano makubwa ya kupinga hicho kitendo kilicho fanywa, ila tuko biza kubadili vichwa vya mada ila content ni ile ile watanzania tuna matatizo makubwa sanaa
 
Nilitegemea mandamano makubwa ya kupinga hicho kitendo kilicho fanywa, ila tuko biza kubadili vichwa vya mada ila content ni ile ile watanzania tuna matatizo makubwa sanaa
Nasikia walimpokonya na mic?
 
It takes a revolution,to make a solution...
Tatizo linaanzia hapo kwa kucheza ngoma ya wanasiasa,neither chadema nor ccm will give a damn about you.

''Never make a politician,grant you a favor,they will always want to control you forever'' ...Robert Nesta Marley....
 
Ingependeza sana na zaidi kama waombolezaji wamgombanie pale na wampe kashi kashi bila kumdhuru... lakini hata ile zomea zomea, itamuamsha kutoka huko alipo sinzia...tabu sana, ugali anataka, kutoa haki pia anataka, dua kaomba pia ( Ni mwislamu safi kama wengne wanavyo muita) , yaani ni tabu tupu sasa.. namuonea huruma sana huyu waziri kwa kweli... yupo katikati ya wanacho taka wananchi na wanacho taka watawala na hajui atachomokea wapi...Ningekuwa yeye, ningeoumzika kwanza niwaachie hayo makundi mawili yafanye yao hadi kieleweke. Kundi moja linajua mshindi ni nani.
 
Ingependeza sana na zaidi kama waombolezaji wamgombanie pale na wampe kashi kashi bila kumdhuru... lakini hata ile zomea zomea, itamuamsha kutoka huko alipo sinzia...tabu sana, ugali anataka, kutoa haki pia anataka, dua kaomba pia ( Ni mwislamu safi kama wengne wanavyo muita) , yaani ni tabu tupu sasa.. namuonea huruma sana huyu waziri kwa kweli... yupo katikati ya wanacho taka wananchi na wanacho taka watawala na hajui atachomokea wapi...Ningekuwa yeye, ningeoumzika kwanza niwaachie hayo makundi mawili yafanye yao hadi kieleweke. Kundi moja linajua mshindi ni nani.
unamhurumiaje mhusika wa taabu hizi za mauaji?
 
View attachment 3092198
Jana tarehe 09 Septemba 2024 tumeshuhudia mazishi ya marehemu Ally Kibao aliyetekwa na wanaosadikika ni polisi na hatimaye kuokotwa kesho yake ameuawa.

Kilichojiri msibani ni pale waombolezaji walipomzomea Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye dhamana ya Jeshi la Polisi Injinia Masauni. Ikumbukwe Injinia Masauni alipokuwa anajibu malalamiko ya wananchi kuhusu wimbi la polisi kuhusika na utekaji nyara na hata kuuawa kwa watu wakiwa mikononi mwa dola, alisema watu wanajiteka wenyewe na wanaendeza drama za utekaji nyara.

Hakustahuli kuwepo katika msiba kwa sababu inawezekana kabisa LABDA marehemu alijiteka nyara. Huyu waziri alistahili kuzomewa kwa sababu kwa nafasi yake alishatoa mwongozo unaolinda askari waendelee kuwadhuru watu.

Shime Watanzania. Tuchukue hatua sasa ya kuwazomea viongozi wote ambao kwa dhamana walizonazo wameshindwa kutuhakikishia usalama na uhai wetu.

Tuwapongeze sana waombolezaji wa mkoani Tanga kwa kuonesha nini tunapaswa kufanya

Hakuna aliye salama
Uungwana ni kupigania haki ya marehemu kisheria bila vurugu hasa kwa kuundwa Tume ya Kijaji ya Mahakama itakuwa huru na si watuhumiwa kuchunguza suala hilo wanalotuhumiwa nalo.
 
unamhurumiaje mhusika wa taabu hizi za mauaji?
Kwa jinsi alivyoongea pale jana, inaonekana kabisa kwamba anajua kinacho endelea, ila hajui ni nini kifanyike maana aliye muweka hapo anataka anacho taka na wananchi pia wanataka wanacho taka... sasa imekuwa ni crash of the titans... hata Polisi wanapewa maelezo na inawezekana kabisa hawayapendi ila hawana jinsi... nimejiuliza sana, huyo aliye mtoboa macho mzee kibao, sijui kwa sasa anajisikiaje, ni vampire sana kwa kweli.. Pole yake pia kwa msongo wa mawazo alio nao kwa sasa...
 
Uungwana ni kupigania haki ya marehemu kisheria bila vurugu hasa kwa kuundwa Tume ya Kijaji ya Mahakama itakuwa huru na si watuhumiwa kuchunguza suala hilo wanalotuhumiwa nalo.
Ustaarabu huo unapaswa kumwambia Samia na wasaidizi wake wanaoteka na kuua wapinzani wao. Kwani Kibao aliawa kisheria hadi tujidogoshe kiasi unachotaka?

Kuzomea ndiyo dawa. Wewe unaona vurugu lakimi subiri yakukute
 
Kwa jinsi alivyoongea pale jana, inaonekana kabisa kwamba anajua kiancho endelea, ila hajui ni nini kifanyike maanaaliye muweka hapo anataka anacho taka na wananchi pia wanataka wanachi taka... sasa imeluwa ni crash iof the titans... hata Polisi wanapewa maelezo na inawezekana kabisa hawayaoendi ila hawana jinsi... nimejiuoiza sana, huyo aliye mtoboa macho mzee kibao, sijui kwa sasa anajisikiaje, ni vampire sana kwa kweli.. Pole yake pia kwa msongo wa mawazo alio nao kwa sasa...
Masauni na Samia damu za hawa watu zitatakwa mikononi mwao.

Mungu hatowaacha sslama
 
Ingependeza sana na zaidi kama waombolezaji wamgombanie pale na wampe kashi kashi bila kumdhuru... lakini hata ile zomea zomea, itamuamsha kutoka huko alipo sinzia...tabu sana, ugali anataka, kutoa haki pia anataka, dua kaomba pia ( Ni mwislamu safi kama wengne wanavyo muita) , yaani ni tabu tupu sasa.. namuonea huruma sana huyu waziri kwa kweli... yupo katikati ya wanacho taka wananchi na wanacho taka watawala na hajui atachomokea wapi...Ningekuwa yeye, ningeoumzika kwanza niwaachie hayo makundi mawili yafanye yao hadi kieleweke. Kundi moja linajua mshindi ni nani.
Masauni hawezi kukwepa lawama japo ukweli ni kuwa hana uwezo wa kuzui huo utekaji na mauaji yanayofanywa na state agents, kwa sababu utekaji na mauaji vinafanywa na Task Force, inayoongozwa na mafwele, na ipo chini ya Ikulu, haipo chini ya Waziri wa Mambo ya Ndani wala IGP.

Masauni anachoweza kufanya ni kujiuzulu tu lakini siyo kuwazuia Task Force wasiendelee na huo ushetani, maana wao wapo chini ya Rais. Anayeweza kuwazuia Task Force ni Rais tu.
 
Binafsi pia sikutarajia kuwa regime ya Samia itakuwa ya kipuuzi kiasi hiki.
Linapofika kwenye suara la uchaguzi anapelekewa taarifay za Uongo nyingi sana tena kutoka kwa watu anaowaamini ndio madhara yake hayo wanaua mpaka wazee wenzao.
 
Back
Top Bottom