Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Waganda wakiamua wanawezaTatizo wanalalamika then yanaisha wafanye vitendo non stop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waganda wakiamua wanawezaTatizo wanalalamika then yanaisha wafanye vitendo non stop
Tanzania haijawahi kumfagilia kagame wacha kudanganya watuKagame yule mliekuwa mnampigia makofi enzi za Jk
Aliyetaka kumuua rais wetu ajaye, lissu.Jiwe wa nchi gani?
aka yule aliyesema anatamani siku moja awe kiongzi wa Malaika wote.Mfalme jiwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] my ribs!Msemaji wa jeshi la polisi la Uganda Emilian Kayima amekanusha tukio la jeshi la polisi kufurumushwa kwa mawe na wananchi wenye hasira kali msibani, amesema walikuwa wanakimbia MVUA tu.
"No one chased us at Kirumira's burial, it was just threatening to rain and i vanished" Amesema Emilian Kayima.
Huyo huyo anaye MUTARAI MUNGUaka yule aliyesema anatamani siku moja awe kiongzi wa Malaika wote.
Anaishi tz?Aliyetaka kumuua rais wetu ajaye, lissu.
Wa danganyika.Jiwe wa nchi gani?
Jiwe na vibaraka wake pekeyao ndo wanamfanya roll model wao.Tanzania haijawahi kumfagilia kagame wacha kudanganya watu
Kweli kabisaJiwe na vibaraka wake pekeyao ndo wanamfanya roll model wao.
Half cast wa kihutu anayetawa, anaishi magogoni.Anaishi tz?
Kweli kabisa ukanda huu umejaza maraisi majambazi watupu na sasa limeingia lingine kwetuHuyu ni wa kumchomoa alafu wafuate Kagame then Jiwe.
Sana kwa kweli, hii yote kuwafanya watu wakae kimya hata pale kwenye udhalimu.Hiki kifo kimeniuma!
Hahahaa, vanished to where, mpaka nimekumbuka kitabu cha "the vanishing shadow"Msemaji wa jeshi la polisi la Uganda Emilian Kayima amekanusha tukio la jeshi la polisi kufurumushwa kwa mawe na wananchi wenye hasira kali msibani, amesema walikuwa wanakimbia MVUA tu.
"No one chased us at Kirumira's burial, it was just threatening to rain and i vanished" Amesema Emilian Kayima.
Rafiki wa jiweMimi pia M7 ni shetani!