real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Wakazi wa kijiji cha Marindi huko Kaunti ya Migori walipaniki na kuchanganyikiwa baada mwanaume wa miaka 35 ambaye aliaminika kuwa amefariki kuibukia msibani nyumbani kwake ghafla
Familia ya mwanaume huyo walikuwa wakimalizia mipango ya mazishi ndipo Okelo Nyamwaga alipojitokeza
Kufika kwake huko kusikotarajiwa kulileta hofu na furaha katika familia yake na marafiki na waombolezaji wengine kukimbia
Nyamwaga alikuwa amepotea kwa miezi miwili na familia yake ilipoteza matumaini ya kumpata akiwa hai
Wiki moja iliyopita marafiki wa Nyamwanga walisema mwili wake ukiwa umeharibika ulikuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Migori
Mwili huo uliokotwa mtoni ukiwa umeharibika na kupelekwa mochwari
Baba yake Nyamwanga alisema alitembelea mochwari mara kadhaa ili kuutambua mwili uliodaiwa kuwa ni wa mwanae lakini akashindwa kutokana na mwili huo kuwa umeharibika sana na aliamini ni wa mwanae kutokana na kushawishiwa na mfanyakazi wa mochwari hiyo
=====================================================
Confusion and panic gripped residents of Marindi Village in Suna West Constituency, Migori County, on Tuesday evening, when a 35-year-old man, who was believed to be dead, arrived unexpectedly at a funeral meeting at their home.
The man’s family was finalizing his burial arrangement on January 16, when Nicholous Okelo Nyamwanga showed up at his parents’ home.
His unexpected arrival at his own wake, sparked terror and then delight among his family and friends. Some mourners fled the funeral meeting in panic.
Nyamwanga had gone missing from home two months ago, and his family members had given up on finding him alive.
One week ago, Nyamwanga’s close friends informed his family members that his decomposing body had been spotted preserved at Migori Level Four Hospital mortuary.
They alleged Nyamwanga’s body was moved to the morgue after being retrieved from River Migori.
Nyamwanga’s father, Francis Nyamwanga, said he had visited the mortuary several times to identify the body of his son, but his attempts proved futile, given the decomposed state of the body he was scrutinising.
“I was convinced into believing the body I suspected to be my son’s was indeed his. The mortuary attendant influenced that decision,” said Francis Nyamwanga.
The tricenarian’s father said they had planned to pick the body from mortuary on Thursday, January 18 ahead of his burial, which was penciled in for Friday, January 19.
Francis Nyamwanga said horrified mourners, including the man’s wife and relatives, fled the funeral meeting.
“They later returned, and were happy to reunite with my son,” said Francis.
Francis added that his son was “shocked” to discover that his family members were organizing his burial, yet he was alive.
“The discovery shocked him. He is yet to come to his senses,” said Francis.
Source: E Daily
Familia ya mwanaume huyo walikuwa wakimalizia mipango ya mazishi ndipo Okelo Nyamwaga alipojitokeza
Kufika kwake huko kusikotarajiwa kulileta hofu na furaha katika familia yake na marafiki na waombolezaji wengine kukimbia
Nyamwaga alikuwa amepotea kwa miezi miwili na familia yake ilipoteza matumaini ya kumpata akiwa hai
Wiki moja iliyopita marafiki wa Nyamwanga walisema mwili wake ukiwa umeharibika ulikuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Migori
Mwili huo uliokotwa mtoni ukiwa umeharibika na kupelekwa mochwari
Baba yake Nyamwanga alisema alitembelea mochwari mara kadhaa ili kuutambua mwili uliodaiwa kuwa ni wa mwanae lakini akashindwa kutokana na mwili huo kuwa umeharibika sana na aliamini ni wa mwanae kutokana na kushawishiwa na mfanyakazi wa mochwari hiyo
=====================================================
Confusion and panic gripped residents of Marindi Village in Suna West Constituency, Migori County, on Tuesday evening, when a 35-year-old man, who was believed to be dead, arrived unexpectedly at a funeral meeting at their home.
The man’s family was finalizing his burial arrangement on January 16, when Nicholous Okelo Nyamwanga showed up at his parents’ home.
His unexpected arrival at his own wake, sparked terror and then delight among his family and friends. Some mourners fled the funeral meeting in panic.
Nyamwanga had gone missing from home two months ago, and his family members had given up on finding him alive.
One week ago, Nyamwanga’s close friends informed his family members that his decomposing body had been spotted preserved at Migori Level Four Hospital mortuary.
They alleged Nyamwanga’s body was moved to the morgue after being retrieved from River Migori.
Nyamwanga’s father, Francis Nyamwanga, said he had visited the mortuary several times to identify the body of his son, but his attempts proved futile, given the decomposed state of the body he was scrutinising.
“I was convinced into believing the body I suspected to be my son’s was indeed his. The mortuary attendant influenced that decision,” said Francis Nyamwanga.
The tricenarian’s father said they had planned to pick the body from mortuary on Thursday, January 18 ahead of his burial, which was penciled in for Friday, January 19.
Francis Nyamwanga said horrified mourners, including the man’s wife and relatives, fled the funeral meeting.
“They later returned, and were happy to reunite with my son,” said Francis.
Francis added that his son was “shocked” to discover that his family members were organizing his burial, yet he was alive.
“The discovery shocked him. He is yet to come to his senses,” said Francis.
Source: E Daily