Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 633
- 1,256
Habari za humu! Nimeingia town Kampala, huku hatari mazee yaani kila unaepishana nae ni kimini tu. Huku ukimuona mtu kavaa dela anaonekana ni mtz. Kuosha macho utachoka mwenyewe. Picha nimeshindwa maana mji upo bize mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app