Wapalestina kusini ya Gaza wavunja ngome za Israel na kurudi Kaskazini

Wapalestina kusini ya Gaza wavunja ngome za Israel na kurudi Kaskazini

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Muda mfupi baada ya kusitishwa kwa vita kunakotarajiwa kuendelea kwa siku 4 makundi ya wapalestina waliotiii amri ya kwenda kusini ya Gaza walionekana kuandamana kutaka kurudi makwao.

Jeshi la Israel lilisema watu hao hawatakiwi kuvuka barabara kuu ya Salahudin inayoigawa Gaza ya kusini na ya kaskazini.Mapambano yaliyotokea yalisababisha vifo vya raia watatu na wengine kujeruhiwa.

Muda mfupi baadae makundi ya raia walionekana wakizunguka huku na huko kwenye majumba yaliyobomolewa huku wakikushanya baadhi ya vitu vyao vilivyosambaratika.

Wapalestina hao wametamani bora wasingetekeleza amri hiyo ya kuingia kusini kwani huko nako wamekuwa wakipigwa na kuuliwa sambamba na msongamano mkubwa wa watu unaosababisha maradhi na shida mbali mbali za kimaisha.
1700887617436.png
 
Kama vile alovyofanywa Mbowe?
sijui wewe unaonaje ?! Yanayoua watu ili yapewe mabikra 72 na mito ya pombe ni sawa na Mbowe ?! Vyovyote iwavyo magaidi lazima yafumuliwe ipasavyo

Screenshot_20231123-091228_Quora.jpg

ona hilo jinga hapo ati likafunika mapumb.u na ub.oo kwa mabati kabla ya kujilipua ili likienda kupewa mabikra 72 ub.oo uwe haujadhurika awashughulikie mabikra vizuri, hii dini inahitaji watu wapumbavu sana
 
sijui wewe unaonaje ?! Yanayoua watu ili yapewe mabikra 72 na mito ya pombe ni sawa na Mbowe ?! Vyovyote iwavyo magaidi lazima yafumuliwe ipasavyo

View attachment 2824336
ona hilo jinga hapo ati likafunika mapumb.u na ub.oo kwa mabati kabla ya kujilipua ili likienda kupewa mabikra 72 ub.oo uwe haujadhurika awashughulikie mabikra vizuri, hii dini inahitaji watu wapumbavu sana
Mi nashangaa wale wasiopenda kupata hao mabikra 72.Ni ujinga kiasi gani hicho kuchagua vitu vizuri vya kudumu kwa upuuzi wa muda mfupi wa dunia.
Kukutana na ndugu yako tu uliyepoteana naye duniani inakuwa raha sana.Hali itakuwaje siku ukipewa hao mahuruaini idadi isyokuwa na ukomo.
1700901497508.png
 
Mi nashangaa wale wasiopenda kupata hao mabikra 72.Ni ujinga kiasi gani hicho kuchagua vitu vizuri vya kudumu kwa upuuzi wa muda mfupi wa dunia.
Kukutana na ndugu yako tu uliyepoteana naye duniani inakuwa raha sana.Hali itakuwaje siku ukipewa hao mahuruaini idadi isyokuwa na ukomo.
View attachment 2824507
unachanganya mambo maalim, zawadi ya kufanya ugaidi aka kuua wasio waislamu zawadi mahususi ni mabikra 72 na mito ya pombe habari ya kukutana na wapendwa ni kitu kingine na thawabu isiyotokana na kuua wav wasio waislamu
 
unachanganya mambo maalim, zawadi ya kufanya ugaidi aka kuua wasio waislamu zawadi mahususi ni mabikra 72 na mito ya pombe habari ya kukutana na wapendwa ni kitu kingine na thawabu isiyotokana na kuua wav wasio waislamu
Wewe ndio umechagua kunywa gongo na kutembea na vimada tu duniani.Unashangaza sana jinsi unavyotumia akili yako.
Naona mara nyingi unawabeza wanaotarajia kupata vitu vizuri aina hiyo.
 
Hawa ni miongoni mwa waliofanikiwa kurudi majumbani kwao kaskazini ya Gaza baada ya usitishwaji wa vita.
Wanasema ni afadhali kufia huku kuliko kufa kwa uchofu kusini.Kama ni kufa kwa mabomu ya waisrael kote ni sawa.
1700920547025.png
 
sijui wewe unaonaje ?! Yanayoua watu ili yapewe mabikra 72 na mito ya pombe ni sawa na Mbowe ?! Vyovyote iwavyo magaidi lazima yafumuliwe ipasavyo

View attachment 2824336
ona hilo jinga hapo ati likafunika mapumb.u na ub.oo kwa mabati kabla ya kujilipua ili likienda kupewa mabikra 72 ub.oo uwe haujadhurika awashughulikie mabikra vizuri, hii dini inahitaji watu wapumbavu sana
1700923429479.png
one day inshallah
 
Mi nashangaa wale wasiopenda kupata hao mabikra 72.Ni ujinga kiasi gani hicho kuchagua vitu vizuri vya kudumu kwa upuuzi wa muda mfupi wa dunia.
Kukutana na ndugu yako tu uliyepoteana naye duniani inakuwa raha sana.Hali itakuwaje siku ukipewa hao mahuruaini idadi isyokuwa na ukomo.
View attachment 2824507
Kwamba huyo mungu aliwaandalia danguro huko peponi ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba huyo mungu aliwaandalia danguro huko peponi ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sio danguro.Kila bikra atakuwa kwenye bustani nzuri sana yenye matunda matamu na nyama za ndege na kila aina ya raha.Unaweza ukastarehe naye unavyopenda kwa miaka 1000 ya hapa duniani na huo ni muda mfupi sana huko peponi ambako hakuna tena ukomo wa muda.
Baadae ukaenda kwa mwengine ukakaa muda unapenda na uchaguzi wa kustarehe nao na muda ni wakeo mwenyewe.
Vyote hivyo vinapatikana kwa kujizuia au kufanya vitu vidogo sana hapa duniani. Moja ya vigezo ni kujizujia kunywa mataputapu na unywe juisi na maji na pia ujizuia kufuata malaya na uoe wake hata 4.
 
Back
Top Bottom