Wapalestina wakumbuka shuka kukiwa kumekucha

Wapalestina wakumbuka shuka kukiwa kumekucha

Kublockiwa na fala kama wewe ni ushindi kwangu. Nitakuwa sioni upuuzi unaondika humu.

Actually maisha ni murua!

IMG_20241006_162723.jpg


Pambana na hali yako.
 
Swali kubwa ni kuwa Hamas walijiuliza nini kitatokea baada ya October 7....Hata Hebolah pia.....sidhani waliwaza hivi......

View attachment 3116851
Ndugu yangu wewe kama unaweza kuishi chini ya myahudi na mateso yao unyanyasaji hilo lako mimi hawezi kuja mkenya akanitoa kwenye ardhi niliyokulia abadani ni either afe au ni nife wale mazayuni ni washenzi haswa hamas wako sawa mia asilimia
 
Ndugu yangu wewe kama unaweza kuishi chini ya myahudi na mateso yao unyanyasaji hilo lako mimi hawezi kuja mkenya akanitoa kwenye ardhi niliyokulia abadani ni either afe au ni nife wale mazayuni ni washenzi haswa hamas wako sawa mia asilimia

Mkuu wajinga hawawezi kuisha
 
Kwanini walikuwa wanahama siku za mwanzo?

View attachment 3116767

Kwanini hawakukomaa walipokuwa tangia awali?

Kwani Isiraeli ilikuwa na uwezo wa kuuwa 5,000 siku ya kwanza au siku yoyote?

Mbona woga wao ndiyo umewafikisha huku kwenye 40,000 + na bado?

Haya si ni yale yale ya makwetu?

Kwani sheria za vita zinasemaje? wacha wakomae tuone nini kitafanyika.
 
Si ndiyo maana walianza kibiti kule wakakutana na mziki wa JW kobazi wakavaa madela Kama mademu wakakimbilia msumbiji. Sababu ni hiyo wanayosema dunia yote wawe waislamu. Wanaangaika na kitu kisichowezekana. MUNGU alazimishi mtu yao yanalazimisha. Na yalivyo majinga yanalazimisha Mungu kawawekea bikira 72 upuuzi mtupu.
 
Si ndiyo maana walianza kibiti kule wakakutana na mziki wa JW kobazi wakavaa madela Kama mademu wakakimbilia msumbiji. Sababu ni hiyo wanayosema dunia yote wawe waislamu. Wanaangaika na kitu kisichowezekana. MUNGU alazimishi
Wewe ndo mzigo na fala mkubwa sana. Huwezi kutumia uhai wa watu wengine rehani. Watu kama wewe hamtakiwi kuwepo kwa sababu ni adui wa uhai wa binadamu wengine.
Unajiona mwamba wakati umejifungia chumbani kwako unaandika jamii forum unataka tuone wewe una machungu kuliko wanayopitia watu wa Gaza.
Mnakera sana kwa mada zenu za kipuuzi kama hizi.
Mkuu huyo mtu ana akili finyu sana. Achana naye shida yake uwezo wake wa kufikilia ni mdogo sana
 
Umeisha sema mwenyewe kwa nukuu yako........

Binaadam wote duniani wanatakiwa wawe waislam. Ambae sie muislamu maisha baada ya kufa yatakuwa magumu kwake...

Mbona unageuza kibao....Lengo lenu kubwa ni dunia Isilimu......simple and short......Israel haipigani vita vya dini.....ila unajua Hamas ndani ya Charter yao....Hata Hezbollah....Land ni chambo tu......ni kueneza Uislamu...Mwenye akili anajua Allah anataka nini...
Wana wa manyaz mungu..mmechanganyikiwa nani Aliyewaloga siku mkishtuka, hamna Akili mtakuwa mmepitwa mbali na mayaudi
 
Si ndiyo maana walianza kibiti kule wakakutana na mziki wa JW kobazi wakavaa madela Kama mademu wakakimbilia msumbiji. Sababu ni hiyo wanayosema dunia yote wawe waislamu. Wanaangaika na kitu kisichowezekana. MUNGU alazimishi mtu yao yanalazimisha. Na yalivyo majinga yanalazimisha Mungu kawawekea bikira 72 upuuzi mtupu.

Kwa hiyo wapi unaona kunaongelewa suala la dini au hata bikra 1 achilia mbali 72?

Kwamba kuna Madera wanavaa wanaume? Kama haya?

download.jpeg


Kulikoni kuwa na akili finyu hivi ndugu?
 
Si ndiyo maana walianza kibiti kule wakakutana na mziki wa JW kobazi wakavaa madela Kama mademu wakakimbilia msumbiji. Sababu ni hiyo wanayosema dunia yote wawe waislamu. Wanaangaika na kitu kisichowezekana. MUNGU alazimishi

Mkuu huyo mtu ana akili finyu sana. Achana naye shida yake uwezo wake wa kufikilia ni mdogo sana

Wewe mwenye akili pana ndiyo wewe?

Hivi hata hamjihirumii?

Ama kweli wajinga hamtaisha. Komaeni hapo hapo.
 
Mkuu siyo kwenye keyboard Wala hata kushabikia bali kuongelea amani.

Kumbuka amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga.

Hapa kwenye watu kufa unauona je ukomavu wa mmasai?

Unadhani wapalestina wangekomaa kimasai wangekuwa wamepata madhara waliyopata?

Hapo ndipo ulipo msingi wa hoja yangu, "adui mkuu ni hofu zaidi kuliko hata hatari yenyewe."

Sasa kaka kaka unataka wakomaae vip? Hao Hamas ambao wanajiita wakomboz wao wameanzisha vita wakiwa hawana. Hata heavy artillery yaan wameanzisha vita utadhan vita vya cartel wa madawa ya kulevya mexico kumbe wanaenda kupigana na jeshi la nchi amano wako well discipline and organized.

Sasa hv hata hujui hamas nan rai nan wamejichanganya kwa raia Matokeo yake ndo hayo ya gaza ardhi imegeuzwa juu chini

Kisha we unataka wakomae.. wameshindwa kukomaa hamas unataka raia wa kawaida wakomae wakomae nn..

Yaan mvamiwe hamna silaha za maana bado unasema unakomaa..
Unatakiwa urud nyuma ukajipange upya... hata vitan inaruhusiwa sembuse raia
Jaman tuachen ushabik wa vita.. watu wana watoto wadogo wazee na wagonjwa.. mabom yanashuka dunia imewasusa unataka wakomae
 
Wangekomaa namna gani jamaa yangu! Kifo kiko mbele yako, na unaona wazi ndugu zako Hamas wanashindwa kumzuia Myahudi...na pia unajua ni nani umempoteza...yaani una jamaa unaowafahamu wamekufa vitani....Hata ungekuwa wewe ungetafuta Punda na hata mkokote uondoke! Vita ni nzuri kuishabikia ukiwa umekaa nyuma ya Keyboard.....
Mwambie akamuulize huyu bwana


View: https://x.com/DrEliDavid/status/1842981875234828301?t=SHh0biVACc5ycQkF6WMg_A&s=19
Pamoja na ndevu zake sijui ndiyo Sunna hataki kusikia kabisa habari za kifo.
 
Sasa kaka kaka unataka wakomaae vip? Hao Hamas ambao wanajiita wakomboz wao wameanzisha vita wakiwa hawana. Hata heavy artillery yaan wameanzisha vita utadhan vita vya cartel wa madawa ya kulevya mexico kumbe wanaenda kupigana na jeshi la nchi amano wako well discipline and organized.

Sasa hv hata hujui hamas nan rai nan wamejichanganya kwa raia Matokeo yake ndo hayo ya gaza ardhi imegeuzwa juu chini

Kisha we unataka wakomae.. wameshindwa kukomaa hamas unataka raia wa kawaida wakomae wakomae nn..

Yaan mvamiwe hamna silaha za maana bado unasema unakomaa..
Unatakiwa urud nyuma ukajipange upya... hata vitan inaruhusiwa sembuse raia
Jaman tuachen ushabik wa vita.. watu wana watoto wadogo wazee na wagonjwa.. mabom yanashuka dunia imewasusa unataka wakomae

Mkuu hata wamasai hawakuwa hata na risasi walikomaa na Waka prevail.

Vivyo hivyo Bangladesh.

Kukomaa kwenye mass bila woga hilo ni jeshi kubwa lenye nguvu kuliko us army na madege yao yote.

Au nasema uongo?
 
Kwanini walikuwa wanahama siku za mwanzo?

View attachment 3116767

Kwanini hawakukomaa walipokuwa tangia awali?

Kwani Isiraeli ilikuwa na uwezo wa kuuwa 5,000 siku ya kwanza au siku yoyote?

Mbona woga wao ndiyo umewafikisha huku kwenye 40,000 + na bado?

Haya si ni yale yale ya makwetu?
Hizo ni propaganda za Hamas wakitaka wabaki kama kinga yao.. ila wamewapuuza Hamas na washaanza kuhama..
 
Hizo ni propaganda za Hamas wakitaka wabaki kama kinga yao.. ila wamewapuuza Hamas na washaanza kuhama..

Kwani umewaona wapalestina wakijitenga na HAMAS?

Au hujui HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS ndugu?
 
Back
Top Bottom