Wapalestina wakumbuka shuka kukiwa kumekucha

Wapalestina wakumbuka shuka kukiwa kumekucha

Mkuu hata wamasai hawakuwa hata na risasi walikomaa na Waka prevail.

Vivyo hivyo Bangladesh.

Kukomaa kwenye mass bila woga hilo ni jeshi kubwa lenye nguvu kuluko us army na madege yao yote.

Au nasema uongo?
Ni sahihi unachosema lakini kwa issue ya palestina na wamasai ni vitu viwili tofauti

Wamasai walikuwa wanapambana na serikali yao.. same to bangladesh..

Hapo unazungumzia mataifa mawili tofauti.. na isitoshe bado kuna influence za kutoka iran ambaye naye anaagenda zake za siri...

Kama wapalestina wangekuwa makini na kuondoa mihemuko basi. tusingefika hapa tulipo kumbuka kipindi kinachosemwa Israel iliundwa ndio kipindi na Jordan nayo iliundwa maana kabla ya hapo yote ilikuwa chini ya uingereza ikijulikana kama palestina mandate territory

Na uingereza alitawala hapo baada ya kukubaliana na local ppl ( transjordan /hashemites ppl na palestines ) kuwa atavamia hapo kuangusha utawala wa ottoman kisha ataigawanya na kuwapa uhuru wao, watu wa jordan wakakubali ila pia akasema atawarudishia jews sehem ya eneo.

Baada ya Ottoman kuangushwa israel akatengeneza taifa la jordan . Miaka kadhaa baadae likaundwa la Israel

Sasa kwa nn hawa wengine wakapata utaifa (jordan) hawa wengine(palestine) hata structure ya uongoz haijulikan wenyewe kwa wenyewe wamegawanyika hadi leo
 
Kwani umewaona wapalestina wakijitenga na HAMAS?

Au hujui HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS ndugu?
Hizo kauli za kukataa zilianza tokea mwanzo Hamas walikuwa wanawazuia hadi walitishia kuwaua and kuna wakati walizuia barabara kwa Big trucks.

Hamas wanafamilia na inasemekana 80% ya vifo vya Gaza ni Hamas na familia zao..

Raia wamewachoka Hamas sema hawana la kufanya kwani watalipiziwa kisasi huko huko gaza.. waliofanikiwa kukimbia nje ya Gaza wakihojiwa wanasema Hamas hawafai.. Hospital tu wanazolalamika ni majeruhi wa hamas
 
Hizo kauli za kukataa zilianza tokea mwanzo Hamas walikuwa wanawazuia hadi walitishia kuwaua and kuna wakati walizuia barabara kwa Big trucks.

Hamas wanafamilia na inasemekana 80% ya vifo vya Gaza ni Hamas na familia zao..

Raia wamewachoka Hamas sema hawana la kufanya kwani watalipiziwa kisasi huko huko gaza.. waliofanikiwa kukimbia nje ya Gaza wakihojiwa wanasema Hamas hawafai.. Hospital tu wanazolalamika ni majeruhi wa hamas

Hivi takwimu zenu huwa mnaziokota wapi?

IMG_20241007_075643~2.jpg


IMG_20241007_075542.jpg
 
Ni sahihi unachosema lakini kwa issue ya palestina na wamasai ni vitu viwili tofauti

Wamasai walikuwa wanapambana na serikali yao.. same to bangladesh..

Hapo unazungumzia mataifa mawili tofauti.. na isitoshe bado kuna influence za kutoka iran ambaye naye anaagenda zake za siri...

Kama wapalestina wangekuwa makini na kuondoa mihemuko basi. tusingefika hapa tulipo kumbuka kipindi kinachosemwa Israel iliundwa ndio kipindi na Jordan nayo iliundwa maana kabla ya hapo yote ilikuwa chini ya uingereza ikijulikana kama palestina mandate territory

Na uingereza alitawala hapo baada ya kukubaliana na local ppl ( transjordan /hashemites ppl na palestines ) kuwa atavamia hapo kuangusha utawala wa ottoman kisha ataigawanya na kuwapa uhuru wao, watu wa jordan wakakubali ila pia akasema atawarudishia jews sehem ya eneo.

Baada ya Ottoman kuangushwa israel akatengeneza taifa la jordan . Miaka kadhaa baadae likaundwa la Israel

Sasa kwa nn hawa wengine wakapata utaifa (jordan) hawa wengine(palestine) hata structure ya uongoz haijulikan wenyewe kwa wenyewe wamegawanyika hadi leo

Andiko lako halina tofauti na utetezi wa Tigo kwenye kesi ya Lissu kuwa wao hawakuwa wamiliki enzi hizo.

IMG_20240508_164459.jpg


IMG_20241007_072816.jpg

Bila kusahau huyu ni mhalifu mzoefu mwenye yearly records kama hivi:

IMG_20241007_081142.jpg


Ukweli mchungu:

"La kuvunda, halina ubani!"
 
Anzia 1947.

"It did not happen from nowhere, there's a history."

Hayo yalikuwa maneno ya Guterres.
Huyu mkuu hakuna cha maana atachokwambia.
Unajiporomosha hadhi kujadili naye.
 
Back
Top Bottom