Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Jamaa kila wakikaa kwa amani miezi michache wanakwenda kuchokoza nyuki Israel. Na Israel huwa hataki mazoea.
Hii iliyoanza October 7 2023 mpaka sasa Wa Israel takribani mia nne tu ndio waliokufa ukiondoa wale 1200 waliopigwa ambush day one ,huku wazee wa vurugu elfu 40 wamekwenda na maji.
Jamaa bila kudundwa hawapati raha kabisa.
Hata vita hii ikipoa watachokoza tena, watadundwa tena mpaka wanyooke.
Hawa jamaa ni kama mbuzi kichaa
Hii iliyoanza October 7 2023 mpaka sasa Wa Israel takribani mia nne tu ndio waliokufa ukiondoa wale 1200 waliopigwa ambush day one ,huku wazee wa vurugu elfu 40 wamekwenda na maji.
Jamaa bila kudundwa hawapati raha kabisa.
Hata vita hii ikipoa watachokoza tena, watadundwa tena mpaka wanyooke.
Hawa jamaa ni kama mbuzi kichaa