ni kweli mkuu
;lakini ndoa nyingi zenye majeraha zinachangiwa na maneno ya nje ya watu
Jamani kuna,,,,
Watu wabaya dunia hii..,kuna watu wakiona ndoa za wenzao wanatumia kwa garama zao zote waone wenzao wamekorofishana ......jamani mbona hivyo walimwengu...sasa kwa wale wenye furaha na amaani kwenye ndoa zenu ama mahusiano yenu jamani kazeni buti...huku nje watu vinawauma
vinawakera wanajiuliiza mbona wale wanaendelea kushine....wanafamilia tuzitunze familia zetu zipendeze zishine watu washindwe kupata cha kuongea....
nanyi wamama msisikilize maneno ya watu nje..muwe makini na maneno ya watu yanabomoa familia...
Watu wengine hawana kingine chochote cha kuongea zaidi ya ndoa.Hii inaonyesha horizons zilipo.
Watu wengine hawana kingine chochote cha kuongea zaidi ya ndoa.Hii inaonyesha horizons zilipo.
Watu wengine hawana kingine chochote cha kuongea zaidi ya ndoa.Hii inaonyesha horizons zilipo.
Wewe huna ndoa so haikuhusu......
Watu wengine hawana kingine chochote cha kuongea zaidi ya ndoa.Hii inaonyesha horizons zilipo.
hahahah brulay wewe kwa nini unachukia kuongelea habari za ndoa ??
tuongee elimu kwenye jukwaa la mahusiano ,mapenzi urafiki
tuongee siasa au mipira
kama hujaipenda ipotezee
Watu wengine hawana kingine chochote cha kuongea zaidi ya ndoa.Hii inaonyesha horizons zilipo.
mi ndo maana huwa nakuogopa....
Wewe huna ndoa so haikuhusu......