Wapangaji na awenye Nyumba

Wapangaji na awenye Nyumba

yutong

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
1,601
Reaction score
338
Mi nashangaa sana wenye nyumba wetu wanadai kodi ya mwaka mzima kutoka kwa wapangaji wao wakati sisi ama watu wengi tunategemea/wanategemea mishahara ambayo tunalipwa kwa mwezi. Sasa hela ya mwaka mzima mimi ntaipata wapi? Let say mshara wangu kwa mwezi ni laki 3 (300,000/-) na kodi ya nyumba kwa mwezi ni sh 50,000/- kwa mwaka mzima inamaana sh 600,000/- na sasa nimlipe kwa mara moja. Je serikali haioni kuna umuhimu wa kubadilisha utaratibu huo? Je wanaJF mnaionaje hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom